chuchumeta3
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 237
- 87
Miongoni mwa majukumu ya mh rais ni kuteua watendaji mbalimbali.
Rais ana wakati mgumu sana kupata watu bora kujaza nafasi hizo na zimekuwa nyingi mno mpaka wakati mwingine zinaleta mjadala.
Ugumu huu unatokana uwezo mdogo wa watu chama tawala. Kumbuka ilibidi mbunge kuteuliwa ajiuzulu ili mh rais ateue mwingine ili awe waziri kwa wabunge waliopo uwezo wao hauna viwango wanapitwa hata Msukuma, Kibaji. Kwa Mbunge CCM wengi wao bora ni std 7. Hawajiamini hawajengi hoja za kusaidia serikali
UVCCM ndio empty kabisa hata kuna wakati aliwashauri kuwa makini kuchagua viongozi wao. Wanalipa kazi ngumu jeshi letu kujibu hoja upinzani.
Taifa letu sote kama watu bora wasafi wenye maadili bora na uadifu waliolelewa vyema na vyama vya upinzani. Basi na mjisifu na kumuunga mkono raisi. Kuliko kuona anateuwa watu wenye uwezo duni kisa toka chama chake. Matokeo kila siku tunashangilia akiwatumbua makada.
TAIFA LETU WOTE TUKIZAMA TUNAZAMA WOTE KAMA ILIVYOTOKEA MAIKA YOTE. BILA CCM IMARA NCHI ITAYUMBA. Wapokelewe wapangiwe wapangiwe majukumu wanamisingi imara hawataliangusha taifa.
ASANTE
Rais ana wakati mgumu sana kupata watu bora kujaza nafasi hizo na zimekuwa nyingi mno mpaka wakati mwingine zinaleta mjadala.
Ugumu huu unatokana uwezo mdogo wa watu chama tawala. Kumbuka ilibidi mbunge kuteuliwa ajiuzulu ili mh rais ateue mwingine ili awe waziri kwa wabunge waliopo uwezo wao hauna viwango wanapitwa hata Msukuma, Kibaji. Kwa Mbunge CCM wengi wao bora ni std 7. Hawajiamini hawajengi hoja za kusaidia serikali
UVCCM ndio empty kabisa hata kuna wakati aliwashauri kuwa makini kuchagua viongozi wao. Wanalipa kazi ngumu jeshi letu kujibu hoja upinzani.
Taifa letu sote kama watu bora wasafi wenye maadili bora na uadifu waliolelewa vyema na vyama vya upinzani. Basi na mjisifu na kumuunga mkono raisi. Kuliko kuona anateuwa watu wenye uwezo duni kisa toka chama chake. Matokeo kila siku tunashangilia akiwatumbua makada.
TAIFA LETU WOTE TUKIZAMA TUNAZAMA WOTE KAMA ILIVYOTOKEA MAIKA YOTE. BILA CCM IMARA NCHI ITAYUMBA. Wapokelewe wapangiwe wapangiwe majukumu wanamisingi imara hawataliangusha taifa.
ASANTE
