Tumuimbie kidogo.
"Achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo
Achia ngazi bibi mchuma huo.
.
.
.
.
Umechelewaaaa, naondoka naye umeishiwa nina dunda naye .
Twaona mambo yapo huku taarabu himo taarabu himo.
Twaona mambo yapo huku weeeeee
Utaumiza roho yakoooo"
Kwa niaba ya Nasma Khamisi Kidogo