NANCA
Member
- Jun 23, 2023
- 92
- 100
Mdau anasema alimuachia mkewe mwekundu wa msimbazi kama makadirio ya gharama za matibabu ili ampeleke mtoto mchanga hospitali ya serikali kutokana na mafua. Mdau aliporudi kutoka kazini akamuuliza mkewe Kama alimpeleka mtoto hospital, na maongezi yakawa Kama ifuatavyo:
Mdau: Wamesema shida nini?
Mke: Hawajaona kitu ila wamemwandikia dawa za kunnua
Mdau: mh! Kwani umetumia sh.ngap?
Mke: 6000
Mdau: Mh! Mbna nanusa harufu ya samaki , umennua samaki?
Mke: eeh ile 4000
Mdau: aa sawa, embu nipe hyo bill ya dawa nikannue.
Mke: leo tunakula nn? Tule ndizi?
Mdau: Chochote. Basi mdau akatoka akaenda mishe zake
- Aliporudi akakuta ndizi, samaki ya zaidi ya 4000 na chachandu. Bc maongezi yakaanza upya
Mdau: Vp, leo umetumia sh. Ngapi hospitalini, hizi samaki ni 4000, maana naona ndizi afu sjatoa hela.
Mke: eeeh nshachoka na maswali, hakuna gharama iliyotumika hospitali, watoto wachanga hawalipi kitu.
Mdau: Mbna nlipokuuliza hukusema?
Mke: Hukusikia na kwani huelewi.
Mdau: Kwan ngekua naelewa ngetoa hela ya matibabu, au ngesema nianze kumfuatilia bima sasa? Mbna unakua muongo? Au unadhani ungesema labda ngekwambia lete hyo hela, mbna bado hujanielewa na kunisoma kua napenda ukweli?
Mkee: eeeeh maneno maneno nshachoka
-Sababu ya mdau kumuuliza uliza mke ilikua ni kutaka kujua je hyo bajeti ya ziada imetoka wapi, isije ikawa mke amechota hela za biashara maana mwanamke ni mpenda vitu vizuri sema jamaa anamkazia na kumbana mbana ktk bajeti.
Sasa mdau ananiomba ushauri kua amechoshwa na gubu la mkewe na tabia ya kupindishapindisha maneno na anafikiria kuachana nae, jumlisha mwanamke ni wakujiliza sana kwao na kupenda sana kwao kuliko kwake. Mdau anadai amechoka. Hivyo kabla hajachukua hatua anaomba ushauri
Mdau: Wamesema shida nini?
Mke: Hawajaona kitu ila wamemwandikia dawa za kunnua
Mdau: mh! Kwani umetumia sh.ngap?
Mke: 6000
Mdau: Mh! Mbna nanusa harufu ya samaki , umennua samaki?
Mke: eeh ile 4000
Mdau: aa sawa, embu nipe hyo bill ya dawa nikannue.
Mke: leo tunakula nn? Tule ndizi?
Mdau: Chochote. Basi mdau akatoka akaenda mishe zake
- Aliporudi akakuta ndizi, samaki ya zaidi ya 4000 na chachandu. Bc maongezi yakaanza upya
Mdau: Vp, leo umetumia sh. Ngapi hospitalini, hizi samaki ni 4000, maana naona ndizi afu sjatoa hela.
Mke: eeeh nshachoka na maswali, hakuna gharama iliyotumika hospitali, watoto wachanga hawalipi kitu.
Mdau: Mbna nlipokuuliza hukusema?
Mke: Hukusikia na kwani huelewi.
Mdau: Kwan ngekua naelewa ngetoa hela ya matibabu, au ngesema nianze kumfuatilia bima sasa? Mbna unakua muongo? Au unadhani ungesema labda ngekwambia lete hyo hela, mbna bado hujanielewa na kunisoma kua napenda ukweli?
Mkee: eeeeh maneno maneno nshachoka
-Sababu ya mdau kumuuliza uliza mke ilikua ni kutaka kujua je hyo bajeti ya ziada imetoka wapi, isije ikawa mke amechota hela za biashara maana mwanamke ni mpenda vitu vizuri sema jamaa anamkazia na kumbana mbana ktk bajeti.
Sasa mdau ananiomba ushauri kua amechoshwa na gubu la mkewe na tabia ya kupindishapindisha maneno na anafikiria kuachana nae, jumlisha mwanamke ni wakujiliza sana kwao na kupenda sana kwao kuliko kwake. Mdau anadai amechoka. Hivyo kabla hajachukua hatua anaomba ushauri