Mwanaume na wewe kweli wataka kunyenyua kende zako uende ukalelewe mambo ya aibu, endelea kukaza utoboe kwa juhudi zako ueshimiwe sisi wanawake tusimanga hatari tunapotoa.
Yaani mpaka jambo hili limuumize kichwa na kumfanya aombe ushauri, huyo jamaa bado hajielewi.
Yaani akalelewe na mama mtoto wake? Ata ingekua ni mkewe bado kuna tatizo hapo...
Nna wasiwasi na uanaume wake