CalvinKimaro
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 245
- 314
Tumsaidie Katibu Mkuu Mpya
VIPAUMBELE POTOFU:
1. Kudai tume huru
2. Kuandaa wagombea uchaguzi mkuu
3. Chadema ni msingi
4. Chadema digitali
5. Ilani ya uchaguzi
VIPAUMBELE SAHIHI:
1. Kusimamia na kutoa Mapato na matumizi
2. Kuhakikisha chama kinajivua sifa ya ukanda
3. Kurekebisha katiba ili kuboresha demokrasia ndani ya chama na kuondoa usultani
4. Kuvunja "inner cabinet"
5. Kuhakikisha chama kina msemaji mmoja maalumu na kuzuia tabia ya kila kiongozi kuitisha press na kutoa matamko
6. Kuhakikisha chama kinajenga ofisi kila kata, wilaya, mkoa na makao makuu.
7. Chama kinaondokana na siasa matukio
8. Chama na viongozi kinaondokana na matendo na tabia zinazopelekea kufungwa au kushikiliwa na vyombo vya dola mara kwa mara.
9. Chama kinajivua sifa ya kupinga kila kitu hata kama kwa kufanya hivyo kinachukiza wapiga kura.
10. Chama kutojihusisha na vitendo vyote vya kihuni, kihalifu, uongo na vinavyokinzana na maadili ya jamii kama ushoga.
Kama akitekeleza haya atakuwa ana tofauti na mtangulizi wake. Ama sivyo hii itakuwa MASHINJI PART II. Itanuka kuliko PART I.
VIPAUMBELE POTOFU:
1. Kudai tume huru
2. Kuandaa wagombea uchaguzi mkuu
3. Chadema ni msingi
4. Chadema digitali
5. Ilani ya uchaguzi
VIPAUMBELE SAHIHI:
1. Kusimamia na kutoa Mapato na matumizi
2. Kuhakikisha chama kinajivua sifa ya ukanda
3. Kurekebisha katiba ili kuboresha demokrasia ndani ya chama na kuondoa usultani
4. Kuvunja "inner cabinet"
5. Kuhakikisha chama kina msemaji mmoja maalumu na kuzuia tabia ya kila kiongozi kuitisha press na kutoa matamko
6. Kuhakikisha chama kinajenga ofisi kila kata, wilaya, mkoa na makao makuu.
7. Chama kinaondokana na siasa matukio
8. Chama na viongozi kinaondokana na matendo na tabia zinazopelekea kufungwa au kushikiliwa na vyombo vya dola mara kwa mara.
9. Chama kinajivua sifa ya kupinga kila kitu hata kama kwa kufanya hivyo kinachukiza wapiga kura.
10. Chama kutojihusisha na vitendo vyote vya kihuni, kihalifu, uongo na vinavyokinzana na maadili ya jamii kama ushoga.
Kama akitekeleza haya atakuwa ana tofauti na mtangulizi wake. Ama sivyo hii itakuwa MASHINJI PART II. Itanuka kuliko PART I.
