Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
๐ง๐จ๐ ๐๐ ๐ฃ๐๐ฆ๐ฆ๐ช๐ข๐ฅ๐ ๐๐จ๐ญ๐๐ ๐ ๐ฆ๐๐ ๐จ ๐ฌ๐๐๐ข
Je ungependa mtu yeyote ashindwe kuzima simu yako mpaka aweke password ? Najua watu wengi wanaweza kushanga inawezekana vipi ? naam inawezekana.
Watumiaji wa simu za android kuna feature kupitia simu yako inakupa uwezo wa kuweka password, pin, patterns ili mtu akiwa anahitaji kuizima simu lazima haweke password ndo simu izime.
Feature hii ni nzuri sana endapo simu itaibiwa au kupotea haiwezekana kuzimwa mpaka mtu aweze kutoa lock ya simu Unachotakiwa kufanya yafuatayo;
โก Ingia setting โ๏ธ kwenye simu yako
โกkisha ingia kwenye security and privacy au security & biometric
โก Kisha tafuta "required password to turn off" weka on hii feature.
Ukikosa hii tafuta kupitia setting ya simu yako andika hivi
Je ungependa mtu yeyote ashindwe kuzima simu yako mpaka aweke password ? Najua watu wengi wanaweza kushanga inawezekana vipi ? naam inawezekana.
Watumiaji wa simu za android kuna feature kupitia simu yako inakupa uwezo wa kuweka password, pin, patterns ili mtu akiwa anahitaji kuizima simu lazima haweke password ndo simu izime.
Feature hii ni nzuri sana endapo simu itaibiwa au kupotea haiwezekana kuzimwa mpaka mtu aweze kutoa lock ya simu Unachotakiwa kufanya yafuatayo;
โก Ingia setting โ๏ธ kwenye simu yako
โกkisha ingia kwenye security and privacy au security & biometric
โก Kisha tafuta "required password to turn off" weka on hii feature.
Ukikosa hii tafuta kupitia setting ya simu yako andika hivi
- lock screen to power down
- Power Down confirmation
- passcode to shut down , ni feature ambazo utazitafuta kupitia setting ya simu yako ili kuweza kuzuia mtu asiweze kuzima simu yako mpaka password ๐, pin au pattern.