john hotsam da1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 396
- 79
habari wakuu....leo nimeona nianzishe kauzi kanachoelezea jinsi ya kutumia blackberry kama modem kwenye kompyuta kwani utakuta mtu ana smartphone lakini bado akitaka internet ananunua modem ya 50 000tsh gharama zinazoweza epukika....kwa android ni rahisi sana just setting-wireless n networks-tethering,symbian kwa kweli sio mtaalam (labda chief-mkwawa anaweza elezea) nime-intend kuelezea blackberry ambayo ni kama ifuatavyo
1.pitia hapa udownload https://swdownloads.blackberry.com/...3BB068C22&dl=A2C0D61EB187AB3AFD247A852FAD3647
2.install kisha ifungue..nenda kwenye tools na click mobile internet setting kisha chagua profile...kama ni voda weka vodacom prepay....tigo ipo,airtel sijaiona
3.nenda tena tools kisha connect internet
kama kuna tatizo umekutana nalo usisite kuuliza
1.pitia hapa udownload https://swdownloads.blackberry.com/...3BB068C22&dl=A2C0D61EB187AB3AFD247A852FAD3647
2.install kisha ifungue..nenda kwenye tools na click mobile internet setting kisha chagua profile...kama ni voda weka vodacom prepay....tigo ipo,airtel sijaiona
3.nenda tena tools kisha connect internet
kama kuna tatizo umekutana nalo usisite kuuliza
Last edited by a moderator: