Tumetoka mbali sana!

Tumetoka mbali sana!

Slim5

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
28,374
Reaction score
38,248
Uhuru na Kazi!

Nimetumiwa na rafiki yangu ktk simu, kaniuliza JE, UNAZIKUMBUKA HIZI?

  1. Kibanga ampiga Mkoloni
  2. Siku ya Gulio Katerero
  3. Chilunda apambana na Chui
  4. Ndoto za Kimweri
  5. Mweka nadhiri na Shetani
  6. Sizitaki mbichi hizi
  7. Brown ashika tama
  8. Lindu amuokoa Kapilima
  9. Barua kutoka kwa Mjomba Mndolwa
  10. Kinango na Nzige
  11. Wadudu wana maajabu
  12. Mchoyo hana rafiki
  13. Andunje: Ufupi si kilema
  14. Manenge na Mandawa
  15. Juma na Roza
  16. Mwanasesere

Unakumbuka nini enzi hizo? Wakumbushe uliosoma nao enzi hizo. Mmpe salamu Mwl. wako aliye hai.
 
Uhuru na Kazi!

Nimetumiwa na rafiki yangu ktk simu, kaniuliza JE, UNAZIKUMBUKA HIZI?

  1. Kibanga ampiga Mkoloni
  2. Siku ya Gulio Katerero
  3. Chilunda apambana na Chui
  4. Ndoto za Kimweri
  5. Mweka nadhiri na Shetani
  6. Sizitaki mbichi hizi
  7. Brown ashika tama
  8. Lindu amuokoa Kapilima
  9. Barua kutoka kwa Mjomba Mndolwa
  10. Kinango na Nzige
  11. Wadudu wana maajabu
  12. Mchoyo hana rafiki
  13. Andunje: Ufupi si kilema
  14. Manenge na Mandawa
  15. Juma na Roza
  16. Mwanasesere

Unakumbuka nini enzi hizo? Wakumbushe uliosoma nao enzi hizo. Mmpe salamu Mwl. wako aliye hai.

dah dah dah! Kumbuka sana hadithi hizo- tumbo niache nimuachie mandawa uji- teh teh teh! Safi sana kwa kutukumbuka watoto wa kipindi hicho!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom