Tumeshinda vita kubwa dhidi ya washindani wa Dar port

Billal Saadat

Senior Member
Nov 30, 2022
169
356
Wengi wakubwa wapo humu ila wamesahau tumeshawahi kuunda Tume ya kuchunguza ucheleweshaji wa mizigo bandarini, foleni ndefu ya malori bandarini. mkitafuta mtaona haya yote.

Ucheleweshaji wa mizigo bandari yetu ya Dar umechangia hata kiwango cha forodha kuwa juu kulinganisha na bandari ya Mombasa hata wafanyabiashara wetu ndani walikimbilia Mombasa ukienda Kkoo wengi watakuambia juu ya hali hii, Mwanza pia.

Ukanda wa Afrika mashariki una njia mbili za Usafirishaji kuna njia ya Kaskazini inayounganisha Bandari ya Mombasa kwenda Uganda kupitia mji wa Malaba na Busia.

Njia ya pili ni njia ya kati inayotoka Dar es salaam kupitia Bukoba kwenda katika landlocked countries ambazo ni Uganda, Rwanda, Burundi na Mashariki ya jamhuri ya Congo.

Kwa muda mrefu na ukweli uliowazi Mombasa imedominate karibia asilimia 60 ya mizigo inayosafirishwa kwenda Congo, Uganda, Burundi na Rwanda sababu ni ucheleweshaji wa kupakua na kushusha mizigo katika Meli na mlundikano wa makasha katika gati zilizokuwa chini ya TICTS.

Kwa Takwimu za bandari yetu Meli huchukua siku tatu au nne katika kupakua na kushusha mizigo kwa zama hizi hatuwezi kuwa mshindani wa namna hii katika nchi ambazo wanashindana nasi kama bandari ya Mombasa.

Hali ya kisiasa isiyotabirika katika njia ya Kaskazini ni mwanya kwetu sisi Tanzania kwasababu wakati wote nchi zisizokuwa na bandari zitakuja kwetu je tumejipanga vipi ukipata mshirika kama DP World ni kuokota embe kwenye mzambarau.

Rais Samia ni hofu kwa kwa nchi shindani wameona move zinazofanyika katika awamu hii ya sita katika kukapitalise mapato ya bandari. Kama tukiweza kuisimamia bandari asilimia 60 ya mapato ya nchi yatatoka bandarini na hii ndiyo inaenda kutokea si mchezo.

Rais Samia Ametengeneza diplomatic activity katika nchi zisizokuwa na bandari amesafiri kwenda Rwanda, ameshafika Uganda, Ameshafiki Burundi na Ametembelea Congo hawa ndiyo wateja Wakuu wa business cargo kwa asilimia 80 hatuwezi kuwapoteza ni wakati wetu huu.

Kwa kipindi cha miezi saba Wakuu wa nchi zote hizi za Landlocked wanefika Dar es salaam au kukutana kuimarisha ushirikiano wa kibiashara zaidi kuhusiana na mizigo ya bandari. Huku Serikali ikiwa imempata mbia ambaye anakuja kufanya biashara kwa wepesi zaidi.

Tanzania imefanya mikakati mikubwa kuhakikisha inabakia kuwa namba moja mbia wa kibiashara kwa nchi zinazosafirisha mizigo yake kupitia bandari ya Dar es salaam.

Serikali inahakikisha reli ya kisasa ya SGR kutoka Isaka hadi Kigali na inajengwa na ujenzi upo katika asilimia 25 hali hii inaiweka Bandari ya Mombasa matatani hawatapenda haya yatokee.

Tanzania imeongeza kina cha bandari kuhakikisha tunaweza kupokea Meli kubwa za mizigo hii pia ni kaa la moto kwa bandari ya Mombasa. Ushindani wetu unabakia katika muda na uharaka wa kushusha mizigo na marketing ya kuwafanya wateja wengi kuja kutumia bandari ya Dar.

Kuiendeleza bandari ya Kigoma na kuimarisha bandari Kavu ya Isaka kunaifanya bandari ya Mombasa kuendelea kupata Changamoto dhidi ya bandari ya Dar es salaam. Kutakuwa na uharaka wa Usafirishaji wa mizigo kutoka Isaka kwenda Uganda, Rwanda, Burundi na Congo.

Serikali imeimarisha miundombinu ya barababara ni eneo dogo la kilometer 30 kutoka nyakanazi hadi lusahunga lenye kuhitaji maboresho asilimia 85 ya Barabara katika njia ya kati ipo katika hali nzuri.

Tukikamilisha bandari ya Kigoma itarahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka kigoma kwenda Bujumbura ambao ni usawa wa umbali wa kilometer 200 na Mizigo kuelekea Congo sababu tutaisafirisha kwa njia ya reli ya kati hadi bandarini na kuelekea Congo.

SGR inaunganisha Dar na Isaka pia Ujenzi unaendelea kutoka Isaka kwenda Mwanza kuna nafasi kubwa mizigo itakayosafirishwa kwenda Uganda, Rwanda, Burundi na Congo ikasafirishwa hadi Isaka na kusafirishwa kiurahisi kuelekea katika destined country jambo litakaloondoa misongamano na mlundikano wa makasha katika bandari ya Dar.

IMG_5785.jpg
 
Toka usingizini mkuu?

Kwani nchi imepata uhuru leo?
Au hizo bandari ndio zimeanza kubinafsishwa leo?

Au DP World ni kitu kipya duniani?
 
Ni ushindi upi huu unaousema?

Kwamba Milele yote watanzania hawatakuwa na Bandari yao isipokuwa Bandari zote ni za DPw ?

Huu ushindi wenu ni wa muda tu kabla watoto wa watoto wa watanzania hawajaanza kufukua kaburi zenu na kuichakaza bakora mifupa yenu!

Mkataba usio na ukomo ndo kushinda?
 
Wengi wakubwa wapo humu ila wamesahau tumeshawahi kuunda Tume ya kuchunguza ucheleweshaji wa mizigo bandarini, foleni ndefu ya malori bandarini. mkitafuta mtaona haya yote.

Ucheleweshaji wa mizigo bandari yetu ya Dar umechangia hata kiwango cha forodha kuwa juu kulinganisha na bandari ya Mombasa hata wafanyabiashara wetu ndani walikimbilia Mombasa ukienda Kkoo wengi watakuambia juu ya hali hii, Mwanza pia.

Ukanda wa Afrika mashariki una njia mbili za Usafirishaji kuna njia ya Kaskazini inayounganisha Bandari ya Mombasa kwenda Uganda kupitia mji wa Malaba na Busia.

Njia ya pili ni njia ya kati inayotoka Dar es salaam kupitia Bukoba kwenda katika landlocked countries ambazo ni Uganda, Rwanda, Burundi na Mashariki ya jamhuri ya Congo.

Kwa muda mrefu na ukweli uliowazi Mombasa imedominate karibia asilimia 60 ya mizigo inayosafirishwa kwenda Congo, Uganda, Burundi na Rwanda sababu ni ucheleweshaji wa kupakua na kushusha mizigo katika Meli na mlundikano wa makasha katika gati zilizokuwa chini ya TICTS.

Kwa Takwimu za bandari yetu Meli huchukua siku tatu au nne katika kupakua na kushusha mizigo kwa zama hizi hatuwezi kuwa mshindani wa namna hii katika nchi ambazo wanashindana nasi kama bandari ya Mombasa.

Hali ya kisiasa isiyotabirika katika njia ya Kaskazini ni mwanya kwetu sisi Tanzania kwasababu wakati wote nchi zisizokuwa na bandari zitakuja kwetu je tumejipanga vipi ukipata mshirika kama DP World ni kuokota embe kwenye mzambarau.

Rais Samia ni hofu kwa kwa nchi shindani wameona move zinazofanyika katika awamu hii ya sita katika kukapitalise mapato ya bandari. Kama tukiweza kuisimamia bandari asilimia 60 ya mapato ya nchi yatatoka bandarini na hii ndiyo inaenda kutokea si mchezo.

Rais Samia Ametengeneza diplomatic activity katika nchi zisizokuwa na bandari amesafiri kwenda Rwanda, ameshafika Uganda, Ameshafiki Burundi na Ametembelea Congo hawa ndiyo wateja Wakuu wa business cargo kwa asilimia 80 hatuwezi kuwapoteza ni wakati wetu huu.

Kwa kipindi cha miezi saba Wakuu wa nchi zote hizi za Landlocked wanefika Dar es salaam au kukutana kuimarisha ushirikiano wa kibiashara zaidi kuhusiana na mizigo ya bandari. Huku Serikali ikiwa imempata mbia ambaye anakuja kufanya biashara kwa wepesi zaidi.

Tanzania imefanya mikakati mikubwa kuhakikisha inabakia kuwa namba moja mbia wa kibiashara kwa nchi zinazosafirisha mizigo yake kupitia bandari ya Dar es salaam.

Serikali inahakikisha reli ya kisasa ya SGR kutoka Isaka hadi Kigali na inajengwa na ujenzi upo katika asilimia 25 hali hii inaiweka Bandari ya Mombasa matatani hawatapenda haya yatokee.

Tanzania imeongeza kina cha bandari kuhakikisha tunaweza kupokea Meli kubwa za mizigo hii pia ni kaa la moto kwa bandari ya Mombasa. Ushindani wetu unabakia katika muda na uharaka wa kushusha mizigo na marketing ya kuwafanya wateja wengi kuja kutumia bandari ya Dar.

Kuiendeleza bandari ya Kigoma na kuimarisha bandari Kavu ya Isaka kunaifanya bandari ya Mombasa kuendelea kupata Changamoto dhidi ya bandari ya Dar es salaam. Kutakuwa na uharaka wa Usafirishaji wa mizigo kutoka Isaka kwenda Uganda, Rwanda, Burundi na Congo.

Serikali imeimarisha miundombinu ya barababara ni eneo dogo la kilometer 30 kutoka nyakanazi hadi lusahunga lenye kuhitaji maboresho asilimia 85 ya Barabara katika njia ya kati ipo katika hali nzuri.

Tukikamilisha bandari ya Kigoma itarahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka kigoma kwenda Bujumbura ambao ni usawa wa umbali wa kilometer 200 na Mizigo kuelekea Congo sababu tutaisafirisha kwa njia ya reli ya kati hadi bandarini na kuelekea Congo.

SGR inaunganisha Dar na Isaka pia Ujenzi unaendelea kutoka Isaka kwenda Mwanza kuna nafasi kubwa mizigo itakayosafirishwa kwenda Uganda, Rwanda, Burundi na Congo ikasafirishwa hadi Isaka na kusafirishwa kiurahisi kuelekea katika destined country jambo litakaloondoa misongamano na mlundikano wa makasha katika bandari ya Dar.

View attachment 2653696
Tusianze kuota ndoto za mchana na kubweteka,kufarijiana na kudanganyana,haya unayosema yanahitaji kuuweka Utanzania wa mazoea pembeni na kuivaa uzalendo wa kweli kwa taifa, vinginevyo bayana ya TRC, TANESCO na kwingineko kwingi hata kunako madini 🤔
 
Ni ushindi upi huu unaousema?

Kwamba Milele yote watanzania hawatakuwa na Bandari yao isipokuwa Bandari zote ni za DPw ?

Huu ushindi wenu ni wa muda tu kabla watoto wa watoto wa watanzania hawajaanza kufukua kaburi zenu na kuichakaza bakora mifupa yenu!

Mkataba usio na ukomo ndo kushinda?

Hivi hizi taarifa za miaka mia zinatoka wapi…?
 
Wakati NBC na Tanesco(Net solution) vinabinafisishwa ulikuwa na umri gani? Je kuna nini NBC na je kuna nini kipya Tanesco.
 
Wakati NBC na Tanesco(Net solution) vinabinafisishwa ulikuwa na umri gani? Je kuna nini NBC na je kuna nini kipya Tanesco.
Bora mtuongezee mifano ovu ya kushindwa kwetu kama taifa,na kurejea kwetu kufanya makosa yale yale🤔
 
Bandari ya Dar inaenda kuchukua hadhi yake na trust me mizigo ya Beira na Mombasa inakuja Dar.

Makubaliano ya Mkataba ndicho kitu muhimu na mgao wa serikali utakuwa kiasi gani yawekwe wazi ili Wananchi wajue.
 
Wengi wakubwa wapo humu ila wamesahau tumeshawahi kuunda Tume ya kuchunguza ucheleweshaji wa mizigo bandarini, foleni ndefu ya malori bandarini. mkitafuta mtaona haya yote.

Ucheleweshaji wa mizigo bandari yetu ya Dar umechangia hata kiwango cha forodha kuwa juu kulinganisha na bandari ya Mombasa hata wafanyabiashara wetu ndani walikimbilia Mombasa ukienda Kkoo wengi watakuambia juu ya hali hii, Mwanza pia.

Ukanda wa Afrika mashariki una njia mbili za Usafirishaji kuna njia ya Kaskazini inayounganisha Bandari ya Mombasa kwenda Uganda kupitia mji wa Malaba na Busia.

Njia ya pili ni njia ya kati inayotoka Dar es salaam kupitia Bukoba kwenda katika landlocked countries ambazo ni Uganda, Rwanda, Burundi na Mashariki ya jamhuri ya Congo.

Kwa muda mrefu na ukweli uliowazi Mombasa imedominate karibia asilimia 60 ya mizigo inayosafirishwa kwenda Congo, Uganda, Burundi na Rwanda sababu ni ucheleweshaji wa kupakua na kushusha mizigo katika Meli na mlundikano wa makasha katika gati zilizokuwa chini ya TICTS.

Kwa Takwimu za bandari yetu Meli huchukua siku tatu au nne katika kupakua na kushusha mizigo kwa zama hizi hatuwezi kuwa mshindani wa namna hii katika nchi ambazo wanashindana nasi kama bandari ya Mombasa.

Hali ya kisiasa isiyotabirika katika njia ya Kaskazini ni mwanya kwetu sisi Tanzania kwasababu wakati wote nchi zisizokuwa na bandari zitakuja kwetu je tumejipanga vipi ukipata mshirika kama DP World ni kuokota embe kwenye mzambarau.

Rais Samia ni hofu kwa kwa nchi shindani wameona move zinazofanyika katika awamu hii ya sita katika kukapitalise mapato ya bandari. Kama tukiweza kuisimamia bandari asilimia 60 ya mapato ya nchi yatatoka bandarini na hii ndiyo inaenda kutokea si mchezo.

Rais Samia Ametengeneza diplomatic activity katika nchi zisizokuwa na bandari amesafiri kwenda Rwanda, ameshafika Uganda, Ameshafiki Burundi na Ametembelea Congo hawa ndiyo wateja Wakuu wa business cargo kwa asilimia 80 hatuwezi kuwapoteza ni wakati wetu huu.

Kwa kipindi cha miezi saba Wakuu wa nchi zote hizi za Landlocked wanefika Dar es salaam au kukutana kuimarisha ushirikiano wa kibiashara zaidi kuhusiana na mizigo ya bandari. Huku Serikali ikiwa imempata mbia ambaye anakuja kufanya biashara kwa wepesi zaidi.

Tanzania imefanya mikakati mikubwa kuhakikisha inabakia kuwa namba moja mbia wa kibiashara kwa nchi zinazosafirisha mizigo yake kupitia bandari ya Dar es salaam.

Serikali inahakikisha reli ya kisasa ya SGR kutoka Isaka hadi Kigali na inajengwa na ujenzi upo katika asilimia 25 hali hii inaiweka Bandari ya Mombasa matatani hawatapenda haya yatokee.

Tanzania imeongeza kina cha bandari kuhakikisha tunaweza kupokea Meli kubwa za mizigo hii pia ni kaa la moto kwa bandari ya Mombasa. Ushindani wetu unabakia katika muda na uharaka wa kushusha mizigo na marketing ya kuwafanya wateja wengi kuja kutumia bandari ya Dar.

Kuiendeleza bandari ya Kigoma na kuimarisha bandari Kavu ya Isaka kunaifanya bandari ya Mombasa kuendelea kupata Changamoto dhidi ya bandari ya Dar es salaam. Kutakuwa na uharaka wa Usafirishaji wa mizigo kutoka Isaka kwenda Uganda, Rwanda, Burundi na Congo.

Serikali imeimarisha miundombinu ya barababara ni eneo dogo la kilometer 30 kutoka nyakanazi hadi lusahunga lenye kuhitaji maboresho asilimia 85 ya Barabara katika njia ya kati ipo katika hali nzuri.

Tukikamilisha bandari ya Kigoma itarahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka kigoma kwenda Bujumbura ambao ni usawa wa umbali wa kilometer 200 na Mizigo kuelekea Congo sababu tutaisafirisha kwa njia ya reli ya kati hadi bandarini na kuelekea Congo.

SGR inaunganisha Dar na Isaka pia Ujenzi unaendelea kutoka Isaka kwenda Mwanza kuna nafasi kubwa mizigo itakayosafirishwa kwenda Uganda, Rwanda, Burundi na Congo ikasafirishwa hadi Isaka na kusafirishwa kiurahisi kuelekea katika destined country jambo litakaloondoa misongamano na mlundikano wa makasha katika bandari ya Dar.

View attachment 2653696
Pumbavu
 
Tanzania haijajingia mkataba hadi sasa na nchi yoyote bali hati ya maridhiano kuendeleza mchakato wa ushirikiano kati ya Tanzania na UAE katika suala la Bandari.
Kwa hivyo Jana wabunge walikuwa wanajifurahisha. Acheni uongo.
 
Back
Top Bottom