Tumeporwa mtoto tufanyaje jaman -woga umetuponza

Wakukusaidia kwa sasa ni yule hg if you need that kid. Inavyoonekana yule hb ana hacra, na ukiendelea kumfuata atamdhuru mtoto. Kwa kuwa wewe umeelimika zaidi, tumia psychological measures. Kwanza tafuta mazingira tulivu ukae na mamake mtoto, mpe strategy za kumpooza mumewe kwanza. Itakuchukua mda ila subira yavuta heri. Kama mtoto ameshakua hakikisha hb hatambui misaada yako manake itamkera na kuongeza hacra. Jifanye umeshiti kabisa ila udeal na mama yake mtoto 100% but underground, acje akasema kwa mumewe. Ukifaulu hapa, sasa yeye(hg) ndo awe na kazi ya kumlainisha mumewe kwa kumsihi amruhusu mtoto aondoke coz toka mwanzo hb anajua mtoto sio wake. Vinginevyo mtoto anavyozidi kuwa mkubwa hata yeye hataweza kuja kubali eti kuna baba yake wa ukweli zaidi ya huyo anaemtambua toka utotoni. Mtampa huyo mtoto machungu yasiyoelezeka. but all in all, its real tough to solve this. Kumbuken kuwa jamii inatambua kuwa huyo mtoto ni wa huyo hb wenu coz alizaliwa wakiwa pamoja. Martyna kumbuka mtoto alivyo na umuhimu kwenye ndoa! My last advice, kwa kuwa kaka yako bado ana uwezo wa kupata mtoto aoe na amwache huyo kid. Na kwa kuwa mlikubaliana, mnaweza mkakubaliana tena kwa pamoja ili mtoto apate elimu na mahitaji muhimu. Kama yule hb angekuwa na mtoto mwingine ungekuta ameshawapa mtoto wenu cku nyingi. Lakini kwa kuwa alishajua tatizo lake na kwamba hakuna mtoto tena, anaogopa fedheha katika jamii, atapita wapi kuambiwa mtoto si wa kwake, kumbe hana kitu. Ana kitu kinachoitwa "inferiority complex" au "phobia". Mtu wa nana hii ni mgumu kumbadilisha. Hope you wili take this seriously. All the best and real take care of strategies for the sake of the kid.
 
umri nimejibu kwenye post ya nsanjo
No need of DNA test manake hamna ubishi wa uhalali wa mtoto ila issue ni uhalali wa kuvunja makubaliano.

Hb anakubali mtoto sio dau yake
 
umri nimejibu kwenye post ya nsanjo
No need of DNA test manake hamna ubishi wa uhalali wa mtoto ila issue ni uhalali wa kuvunja makubaliano.

Hb anakubali mtoto sio dau yake

Could you plz look at my advice sent to you at 05:34 pm, from there you might come up with an idea.
 
cha msingi kama makubaliano ya kirafiki yameshindikana basi tumieni haki za kisheria ambazo naamini zinaweza kuwasaidia. ingawaje pia mama wa huyo mtoto ana sauti ya kuamua nani awe baba wa kulea huyo mtoto,swali langu ni kkwamba huyo mtoto anatumia jina la nani na pia makubaliano yenu yaliweka wazi kuwa baadae mtamhitaji huyo mtoto?
 
Yani mlimpa mtu jukumu la kua baba leo mnataka kumnyang'anya?Kama ambavyo hamkumtaka kiasi cha kutaka kubaki na kuonekana "wasafi" kwa manufaa binafsi ndivyo mnamtaka tena huyo mtoto kwa manufaa binafsi bila kumfikiria yeye!Msitake kumharibu mtoto..mwacheni na baba anaemjua!
 
Kumficha mtoto haisaidii hata kidogo. Read my lips:

Mtoto Ana Haki Ya Kujua Wazazi Wake.


Fuatilia ushauri wa msnajo ni mzuri ila kama mtamficha hamta kuwa mmemfanyia haki huyo mtoto.

.... hebu njoja kwanza yaani hii imeniuma kweli..

Lakini wewe Marytina mi nakushangaa yaani wewe ulipewa haki ya kumfahamu baba na mama yako halafu unaona sawa eti huyo mtoto mtamwambia baba yake ni nani akikuwa unajuwa mtamuumiza sana huyu mtoto.

Naelewa hii yote ni kutaka kuondoa aibu, Kwanza kwa kaka yako na sasa kwa huyo house boy lakini hii yote ni selfishness ya hao wawili. Wewe kama ni refa kama unavyosema hakikisha huyo mtoto anamfahamu baba yake kwasababu yeye hakuomba kuingia katika hiyo drama.

Pia mwambie huyo kaka yako awe karibu na huyo mtoto msingojee mpaka awe na miaka 15+.
 
Ukweli pekee ndo utawaweka huru, mnatakiwa kutubu mbele za mungu kwa kuikataa damu yenu wenyewe. Pili mnatakiwa mtubu kwa wazazi wenu na muwambie ukweli ndo mtapata amani. Tatu hata mama wa mtoto huyo ana haki ya kumlea pia, so sidhani kama ni busara kumtenga mtoto na mamaake jamani. Mnatakiwa kujua mlicho kifanya awali si utoto ila ni ujinga na ukatili wa hali ya juu, ni bora noma ingeisha wakati uleule. Cha muhim mkatubu, then wazazi kwakua wanahekima zaidi watajua sasa waanzie wapi na pia wanaweza kuongea kwa busara na huyo kaka na dada, si hivyo tu wanaweza kuwapatieni hata nyinyi ushauri mzuri tu. Mbarikiwe.
 
anatumia jina la ukoo wa mama mtu,
Makubaliano ya awali yalikuwa hakuna siri kuvuja forever kwa hiyo jamaa (baba wa kufikia ) ndiye atakayeamua kuhusu hatma ya mtoto pindi Kaka yangu atakapokuwa vizuri i.e kumpa au kutompa
Me na Braza tukadhania jamaa atatupa huyo mtoto within a second tutakapomhitaji kumbe BIG KOSA TULIFANYA
 


Mshauri mtu na siyo kumbeza na tena walitumia busara maana ni wangapi wamewapa ma house girl mimba na kuwaambia waende kijijini halafu wamewatelekeza huko bila matuunzo na wengine hawajui hata sura za watoto wao si bora huyu ambae alikuwa anataka kumwona kila mara na hata kupeleka huduma.
 

Lizzy elewa nia haikuwa tuonekane wasafi bali kumwokoa KAKA kutoka kwenye mikono ya baba yetu.Mzee wetu Mafia sio mchezo.Pia nilipozwa na umri.
Ni wogo ulituongoza kuingia makubaliano haya na wala hapakuwa na nia ovu.
 
Chamoto mimi nimeshakiri makosa yangu hapa JF
Baba wa kufikia anatishia kuuwa hivi: mtoto na yeye au mke(hg) na yeye (hb) sasa think mtoto akijaambiwa kuwa mama yake aliuwawa na baba wa kufikia kwa kisa hiki mimi nitaficha wapi uso wangu,
Pili jamaa akimuuwa mtoto na yeye kujiua huoni hiyo ni issue sana kwetu na mama mtoto?
 
Lizzy elewa nia haikuwa tuonekane wasafi bali kumwokoa KAKA kutoka kwenye mikono ya baba yetu.
Sindo kutaka kuonekana kama malaika kumbe sio!Nwy mama mtoto yupo hai na hana mpango wa kuivuruga familia yake kwa sasa kwahiyo mwacheni!Kama kipindi hicho hakikufaa kusema mtoto ni wa kaka yenu ndivyo ambavyo na wao wanaona haifai kwa sasa!Huwezi kumpa mwanaume jukumu la kua baba alafu ukamnyang'anya tu kisa mambo yenu yamekaa vizuri!Yani hamfikiria watu wengine hata!
 
Alafu Marytina ngoja baadae nikitoka via mobile ntakwambia kuhusu kitu kilichotokea kwa ndugu zangu fulani...unaweza ukaona mnamsaidia mtoto kumbe mnamtafutia mateso tu!
 
??????????????????????
 
Waambieni wazazi wenu wataonge na hao hb na hg wenu ili muwe mnashea custody za mtoto wote maana mkifatilia kwenye vyombo vya sheria nafikiri hakuna kutu kutakachoshindikana.pole na mkasa mzito.
 
Waambieni wazazi wenu wataonge na hao hb na hg wenu ili muwe mnashea custody za mtoto wote maana mkifatilia kwenye vyombo vya sheria nafikiri hakuna kutu kutakachoshindikana.pole na mkasa mzito.
thanks Gaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…