Tumeporwa mtoto tufanyaje jaman -woga umetuponza

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,281
7,126
My Kaka (mama tofauti aka mtoto wa nje) tumekulia na kukaa pamoja alimpa mimba housegirl.By the time kaka alikuwa form five
Kwa kumwogopa sana baba akanieleza tumwombe yule housegirl aseme amepewa na houseboy wetu.Houseboy alikubali haraka tena tukaapizana siri isivuje maishani.

Wazazi wetu wakamjia juu hg nikamsihi mama asimrudishe kwao bali ampangie chumba atakuwa akija asubuhi.Wakawa wanaishi na houseboy.Kaka na mimi tulijitolea sana kuwasaidia hasa kwa kuwapa stock ya chakula tulichokuwa tunaiba home.

Now my brother anataka yule mtoto atambulike kwetu, mimi pia namtaka arudi kambi yetu ila baba wa kufikia (former houseboy) katia ngumu vibaya na hataki majadiliano anadai hana uwezo wa kuzaa kwa sasa anaumwa na yuko tayari kuua kama hatutamwelewa
 
Mwachieni bwana.
Nyie endeleni kumtunza tu ili apate elimu bora.
Huyo baba amemzoea mtoto na mtoto kamzoea baba msiwatenganishe kama wanaishi vizuri.
Pia mwaweza kumharibu mtoto ki psychology so for the best of ya mtoto kubalini matokeo na endeleeni na msaada
 
duh!!

hata ningekuwa mie huyo h.boy nisingekubali!!!
unazidi kuniumiza
kumbuka tuliongea kama black deal na hatukuwa tunammilikisha huyo mtoto.pia akili za kitoto zilituponza ikizingatiwa houseboy alikuwa mkubwa kwetu hatukumburuza kwenye makubaliano.
Kwa nini asiruhusu ukweli uwe hadharan hata kama ataendelea kumiliki huyo mtoto?
 
Mwachieni bwana.
Nyie endeleni kumtunza tu ili apate elimu bora.
Huyo baba amemzoea mtoto na mtoto kamzoea baba msiwatenganishe kama wanaishi vizuri.
Pia mwaweza kumharibu mtoto ki psychology so for the best of ya mtoto kubalini matokeo na endeleeni na msaada

Nata ndugu yangu inauma hasa kila napomtembelea huyo mtoto.
My Mama alikwisha staafu kazi kwa hiyo atampa kampani nzuri mjukuu wake.
Nakubali na naheshim mchango wa huyu former houseboy kumlea mtoto ila ikumbukwe tuliingia makubaliano kwa nia mjema toka deepest part ya mioyo yetu
 
My Kaka (mama tofauti aka mtoto wa nje) tumekulia na kukaa pamoja alimpa mimba housegirl.By the time kaka alikuwa form five
Kwa kumwogopa sana baba akanieleza tumwombe yule housegirl aseme amepewa na houseboy wetu.Houseboy alikubali haraka tena tukaapizana siri isivuje maishani.

Wazazi wetu wakamjia juu hg nikamsihi mama asimrudishe kwao bali ampangie chumba atakuwa akija asubuhi.Wakawa wanaishi na houseboy.Kaka na mimi tulijitolea sana kuwasaidia hasa kwa kuwapa stock ya chakula tulichokuwa tunaiba home.

Now my brother anataka yule mtoto atambulike kwetu, mimi pia namtaka arudi kambi yetu ila baba wa kufikia (former houseboy) katia ngumu vibaya na hataki majadiliano anadai hana uwezo wa kuzaa kwa sasa anaumwa na yuko tayari kuua kama hatutamwelewa

Its likmd a movie
 
Nata ndugu yangu inauma hasa kila napomtembelea huyo mtoto.
My Mama alikwisha staafu kazi kwa hiyo atampa kampani nzuri mjukuu wake.
Nakubali na naheshim mchango wa huyu former houseboy kumlea mtoto ila ikumbukwe tuliingia makubaliano kwa nia mjema toka deepest part ya mioyo yetu

Mlilipa nini huyu houseboy?
Lakini for the sake of the child mwacheni kwa huyu kaka ili msinvuruge mtoto kiakili
 
Its likmd a movie
kabisa ila nikichanganya mawazo yenu nitafikia muafaka.
iko komplicated ni aje na kibaya mimi na kaka hatudhubutu kumwadisia watu wa karibu kwani tutazidisha joto la hii issue
 
DUH! mtoto ana umri gani?? cha msingi ni kutunza na kumjengea maisha mazuri mtoto! ni swala la muda tu akipata fahamu atawatafuta mwenyewe! lazima kuna ck mama yake atakuja mweleza ukweli! kwa sasa mwachieni mlezi aendelee kufaidi attachment iliyopo kati yao, kwani mking'ang'ania sana anaweza mfanya kitu mbaya huyo mtoto..you know me??? lakini pia huo ndo MSHAHARA wa DHAMBI, Dhambi ya Kuikana DAMU yenu..kwani sasa mmetoa ujasiri wapi????? hacheni utani na huyo jama! KIRUU!!

My Kaka (mama tofauti aka mtoto wa nje) tumekulia na kukaa pamoja alimpa mimba housegirl.By the time kaka alikuwa form five
Kwa kumwogopa sana baba akanieleza tumwombe yule housegirl aseme amepewa na houseboy wetu.Houseboy alikubali haraka tena tukaapizana siri isivuje maishani.

Wazazi wetu wakamjia juu hg nikamsihi mama asimrudishe kwao bali ampangie chumba atakuwa akija asubuhi.Wakawa wanaishi na houseboy.Kaka na mimi tulijitolea sana kuwasaidia hasa kwa kuwapa stock ya chakula tulichokuwa tunaiba home.

Now my brother anataka yule mtoto atambulike kwetu, mimi pia namtaka arudi kambi yetu ila baba wa kufikia (former houseboy) katia ngumu vibaya na hataki majadiliano anadai hana uwezo wa kuzaa kwa sasa anaumwa na yuko tayari kuua kama hatutamwelewa
 
Maji yakishamwagika hayazoleki waambieni watu wa karibu hasa wazee watu wazima watawapeni ushauri mzuri zaidi
 
Mlilipa nini huyu houseboy?
Lakini for the sake of the child mwacheni kwa huyu kaka ili msinvuruge mtoto kiakili
to tell you the truth.Huyu hauseboy+housegirl walikuwa kama sehemu ya familia yetu marafiki kwelikweli kila kazi tulishirikiana mpaka mwisho.
Sikujua kama kaka anakula housegirl akija likizo.Hatukuingia mikataba ya fedha tuliona ni njia rahisi na yeye alicheza hiyo nafasi kama rafiki yetu.Alikuwa amamsave braza asikatishwe masoma na baba.
Kaka alimwogopa sana baba si unajua tena mtoto wa nje akiharibu huwashiwa moto ile mbaya na baba yetu ni mafia habembelezi mtoto ukileta miduara hata ada na matumizi utajijua.
 
pls usipotee manake hii ishu ni ya kweli huwa inanifanya niweweseke napozama kuifikiria

Naomba nikuulize swali, "wakati mnakubaliana na huyo hb wenu mlimweleza kuwa ujauzito ni wa Kaka yako au mlimlazimishia tu kuondoa mfarakano nyumbani?" huyo mtoto ana umri gani kwa sasa, na je inakuaje huyo former hb wenu anasema kuwa hana uwezo wa kuzaa tena kwa sara? Hebu nipe details then I'll get to know how to gv you an advice. Halafu nijuze Mama yake mtoto asemaje kuhusu msimamamo wa huyo Baba(hb) ambaye yupo tayari kufa?
 
unazidi kuniumiza
kumbuka tuliongea kama black deal na hatukuwa tunammilikisha huyo mtoto.pia akili za kitoto zilituponza ikizingatiwa houseboy alikuwa mkubwa kwetu hatukumburuza kwenye makubaliano.
Kwa nini asiruhusu ukweli uwe hadharan hata kama ataendelea kumiliki huyo mtoto?

Dia kumbuka hata Abraham alitaka kumtoa mwanawe wa pekee kuwa kafara!!! huyo kaka yako si anauwezo wa kuzaa? azae mwingine tu, alafu huyo mtunzeni kama kawaida akikua lazima atamtafuta baba yake tu!!!!
 
to tell you the truth.Huyu hauseboy+housegirl walikuwa kama sehemu ya familia yetu marafiki kwelikweli kila kazi tulishirikiana mpaka mwisho.
Sikujua kama kaka anakula housegirl akija likizo.Hatukuingia mikataba ya fedha tuliona ni njia rahisi na yeye alicheza hiyo nafasi kama rafiki yetu.Alikuwa amamsave braza asikatishwe masoma na baba.
Kaka alimwogopa sana baba si unajua tena mtoto wa nje akiharibu huwashiwa moto ile mbaya na baba yetu ni mafia habembelezi mtoto ukileta miduara hata ada na matumizi utajijua.
Mh kwa kweli jaribuni kumsihi zaidi na mkiweka mbele pia kuthamin mchango wake hata kama kumfidia kwa namna fulani,
Kwani huyu kaka amepitia mengi na huyo mtoto kumuhudumia ucku akilia , akiumwa nk
So jaribuni kuliweka kinaman ya kumcompasate fulan
 
My Kaka (mama tofauti aka mtoto wa nje) tumekulia na kukaa pamoja alimpa mimba housegirl.By the time kaka alikuwa form five
Kwa kumwogopa sana baba akanieleza tumwombe yule housegirl aseme amepewa na houseboy wetu.Houseboy alikubali haraka tena tukaapizana siri isivuje maishani.

Wazazi wetu wakamjia juu hg nikamsihi mama asimrudishe kwao bali ampangie chumba atakuwa akija asubuhi.Wakawa wanaishi na houseboy.Kaka na mimi tulijitolea sana kuwasaidia hasa kwa kuwapa stock ya chakula tulichokuwa tunaiba home.

Now my brother anataka yule mtoto atambulike kwetu, mimi pia namtaka arudi kambi yetu ila baba wa kufikia (former houseboy) katia ngumu vibaya na hataki majadiliano anadai hana uwezo wa kuzaa kwa sasa anaumwa na yuko tayari kuua kama hatutamwelewa
Hapo kwenye red sijapenda mshauri kaka yako apunguze hasira. Ushauri ni kwamba mwambie kaka yako afungue dai mahakamani kudai mtoto wake akieleza sababu zilizomfanya amsaliti mwanae. Mahakama itaamuru kufanyike DNA test kutambua baba halisi wa mtoto hatimae mtapata mtoto wenu.
 
DUH! mtoto ana umri gani?? cha msingi ni kutunza na kumjengea maisha mazuri mtoto! ni swala la muda tu akipata fahamu atawatafuta mwenyewe! lazima kuna ck mama yake atakuja mweleza ukweli! kwa sasa mwachieni mlezi aendelee kufaidi attachment iliyopo kati yao, kwani mking'ang'ania sana anaweza mfanya kitu mbaya huyo mtoto..you know me??? lakini pia huo ndo MSHAHARA wa DHAMBI, Dhambi ya Kuikana DAMU yenu..kwani sasa mmetoa ujasiri wapi????? hacheni utani na huyo jama! KIRUU!!
hatukuikana damu yetu nilijitahidi hg akapangishiwa chumba,tulikuwa tukiiba stocks za chakula tunampelekea mama na mtoto.
Kumbuka by the time nikiwa kama kiungo nilijiingiza dhambini kwa utoto not intended at all.
Kaka ni mtoto wa nje sasa hapo angepata wapi support in case baba angemwambia oa na jiendeshee maisha yako shule imekushinda.

Nakiri tulikosea ila hii adhabu ni kubwa mno kwa kosa lililochagizwa na utoto
 
Ka swali kangu ni haka unasema mtoto ni wa kaka yako sasa ilikuwaje mpaka houseboy akakubali? au na houseboy nae alikuwa anagongea kwa huyo dada?
 
Back
Top Bottom