msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,135
Wakukusaidia kwa sasa ni yule hg if you need that kid. Inavyoonekana yule hb ana hacra, na ukiendelea kumfuata atamdhuru mtoto. Kwa kuwa wewe umeelimika zaidi, tumia psychological measures. Kwanza tafuta mazingira tulivu ukae na mamake mtoto, mpe strategy za kumpooza mumewe kwanza. Itakuchukua mda ila subira yavuta heri. Kama mtoto ameshakua hakikisha hb hatambui misaada yako manake itamkera na kuongeza hacra. Jifanye umeshiti kabisa ila udeal na mama yake mtoto 100% but underground, acje akasema kwa mumewe. Ukifaulu hapa, sasa yeye(hg) ndo awe na kazi ya kumlainisha mumewe kwa kumsihi amruhusu mtoto aondoke coz toka mwanzo hb anajua mtoto sio wake. Vinginevyo mtoto anavyozidi kuwa mkubwa hata yeye hataweza kuja kubali eti kuna baba yake wa ukweli zaidi ya huyo anaemtambua toka utotoni. Mtampa huyo mtoto machungu yasiyoelezeka. but all in all, its real tough to solve this. Kumbuken kuwa jamii inatambua kuwa huyo mtoto ni wa huyo hb wenu coz alizaliwa wakiwa pamoja. Martyna kumbuka mtoto alivyo na umuhimu kwenye ndoa! My last advice, kwa kuwa kaka yako bado ana uwezo wa kupata mtoto aoe na amwache huyo kid. Na kwa kuwa mlikubaliana, mnaweza mkakubaliana tena kwa pamoja ili mtoto apate elimu na mahitaji muhimu. Kama yule hb angekuwa na mtoto mwingine ungekuta ameshawapa mtoto wenu cku nyingi. Lakini kwa kuwa alishajua tatizo lake na kwamba hakuna mtoto tena, anaogopa fedheha katika jamii, atapita wapi kuambiwa mtoto si wa kwake, kumbe hana kitu. Ana kitu kinachoitwa "inferiority complex" au "phobia". Mtu wa nana hii ni mgumu kumbadilisha. Hope you wili take this seriously. All the best and real take care of strategies for the sake of the kid.