Huyu Kiongozi wa Zanzibar huwa sisikii akizungumziwa kabisa japo alikuwa kiongozi mkubwa.
Alifariki tareh km ya jana 04-July 2001 ila kila nikijiweka karibu na vyombo vya habari sisikii akitajwa kabisa.
Pumzika kwa amani Dr Omari Ali Juma, japo ulifariki nikiwa darasa la 6 na pia mimi siyo mzanzibari ila nakukumbuka.