Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,437
- 3,260
Hakuna cha ndoto Mkuu.Kwanini tuishi kwa ndoto za masika?
Hata hao tunaowaqoute kila siku nao walipitia tunakoenda.
Hakuna cha ndoto Mkuu.Kwanini tuishi kwa ndoto za masika?
Unakubaliana kuwa Watz wamekubaliana waongozwe kwa mjibu wa katiba na sheria na sio hisani ya mtu?Hakuna cha ndoto Mkuu.
Hata hao tunaowaqoute kila siku nao walipitia tunakoenda.
Ndio nini hiyo?...kuitambu?
Mbona swali LA kwanza umelijibu na kuuliza tena swali?Unakubaliana kuwa Watz wamekubaliana waongozwe kwa mjibu wa katiba na sheria na sio hisani ya mtu?
Je hilo linatekekezwa?