Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,767
Hawana fikra. Watu ambao hata uweke vipengele vya wazi vya Katiba ya nchi vinavyobakwa wao wanapanua midomo kutetea ubakaji utawaitaje kama si 'watu wasio na akili kama Wagalatia waliorogwa.'w
Wapo wanaoamini kuwa hiyo ndiyo njia ya kuharakisha maendeleo!