Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,870
- 34,357
Tunawekeza nchi za nje isiwe Tabu Sisi ni wawekezaji .........................................Hongera kwa ujasirimali nitaruka toka Alaska nije kutengeneza nywele khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ipo Gheto nyumbani sio Sehemu ya kukodi nyumba................Iko mtaa gan??
Wabongo bana...tofautisha kuanzisha biashara na kuajiriwa....hao wageni wanaweza kuazisha biashara lakini sio kuajiriwa katika kazi ambazo wabongo wanaweza fanya....hata Turkey ndo wanavofanya tena wako strict kuliko hata hapa tzUngekuwa wewe ni Mturuki umefungua saloon hapa Tanzania, ungeambiwa "unafanya kazi ambayo mtanzania anaiweza" .... Hivyo you have to vacate our Land. Teh! Teh! Teh! Enjoy maisha ya ughaibuni kwenye demokrasia ya kweli.
Oh! Okay, sikujua. Maana nimesikia wakongo wakifunga saloon zao huko Sinza na kukimbia.Wabongo bana...tofautisha kuanzisha biashara na kuajiriwa....hao wageni wanaweza kuazisha biashara lakini sio kuajiriwa katika kazi ambazo wabongo wanaweza fanya....hata Turkey ndo wanavofanya tena wako strict kuliko hata hapa tz
Geto wap..mtaa gan mkuu watu waje...maana hizi bata zinapunyua tu hizi nywele zetuIpo Gheto nyumbani sio Sehemu ya kukodi nyumba................
Acha uongo wewe. hapo ni manzese au kigogo. eti Istanibul, hata aibu huoni? mambo mengine muwe mnamuogopa mungu!Ipo Gheto nyumbani sio Sehemu ya kukodi nyumba................
Tafuta Dollar 1500 upate nauli kuja na kurudi huko uliko.Nauli ya kuja kunyoa bei gani Mkuu nije weekend ijayo?
SAWA BRO TUTAKUJA LAKINI MBONA UMETUPIA PICHA NYINGI ZA AINA MOJA? UNAJAZA SERVER YA JF BWANA!!!View attachment 315896 View attachment 315897 View attachment 315898 View attachment 315899 View attachment 315900 View attachment 315901 View attachment 315902 View attachment 315903 View attachment 315904 View attachment 315896 View attachment 315897 View attachment 315898 View attachment 315899 View attachment 315900 View attachment 315901 View attachment 315902 View attachment 315903 View attachment 315904 View attachment 315896 View attachment 315898 View attachment 315899 View attachment 315900 View attachment 315901 View attachment 315902 View attachment 315903 View attachment 315904
Wanakimbia kwasababu hawana vibali vya kuishi wala kuendesha biashara.Oh! Okay, sikujua. Maana nimesikia wakongo wakifunga saloon zao huko Sinza na kukimbia.