Tumefikaje hapa?

Tumefikaje hapa?

Tuna watawala waliojaa kiburi, tamaa na ulafi wa kiwango ambacho hakijawahi kuonekana, kiasi cha kuwafanya watumwa wa pesa na kuwatia ukichaa na upofu, kiasi cha kupoteza uwezo wa kufikiri maamuzi wanayoyafanya leo.
Wanajua vzr madhara ya kile wanakifanya, tena huenda kuliko unavyojua wewe, lkn je? Wao inawaathiri nini na vizazi vyao ilhali wana investments zisizoisha, hadi hukoooo ughaibuni wana assets
 
Mama atakuwa anawaamini sana wasaidizi wake.Watakachomfanya atashangaa.She should never trust waswahili hawa...hawana uzalendo, ubinadamu na roho mbaya..hawajali kabisa...
Si uaona hata mikeke ya nafasi nyeti..wanaweka majina ya watoto, ndugu..yaani ni kama kuna familia fulani zinazungukwa tu...na hii ni sababu anawaamini sana watu...
Mama akiendelea kukata mbuga na kupiga hafla..nyuma atakuta watu waishamaliza mboga tayari
She is one among then, she knows everything! Ndio maana akachagua kumkejeli aliekuwa boss wake
 
Kwamba wapewe tu maana tumeshindwa.
NDIO ukweliii tukishindwaa si tunaitaa watu waje kutusaidia kuongoza maan kusema hatuna hela ya kutengeenza ile bandari ni vitukooo...! kuwekeza kwenye bandari tumeshindwaa no wonder DOLLAR HAZIPOOO... hata kuexport hatuwezi.
 
Hivi si tuliambiwa wazo la bandari ya Bagamoyo limefufuliwa sasa hii ya kuuza bandari zote za Tanganyika mpaka za Kigoma limetokea wapi


Kwa mawazo yangu nchi hii kwa sasa imeishiwa fedha kabisa na huenda hata mishahara inapatikana kwa njia za aibu(kudanga)
 
Tukiingia mikataba tata,nao wakatuletea utata,tuna jeshi lenye uzalendo na uwezo wa kupambana na hawa watu?
Au ndio nchi itakuwa kama Sudan?
 
NDIO ukweliii tukishindwaa si tunaitaa watu waje kutusaidia kuongoza maan kusema hatuna hela ya kutengeenza ile bandari ni vitukooo...! kuwekeza kwenye bandari tumeshindwaa no wonder DOLLAR HAZIPOOO... hata kuexport hatuwezi.
Ni mambo ya kusikitisha sana.
 
Hivi si tuliambiwa wazo la bandari ya Bagamoyo limefufuliwa sasa hii ya kuuza bandari zote za Tanganyika mpaka za Kigoma limetokea wapi


Kwa mawazo yangu nchi hii kwa sasa imeishiwa fedha kabisa na huenda hata mishahara inapatikana kwa njia za aibu(kudanga)
Inawezekana kabisa.
 
Kuna Wajinga wachache wanaosapoti ubinafsishwaji wa bandari, but hawajui kuwa Kuna effect kubwa Sana itawapata wafanyabiashara wanaotumia bandari ku export na ku import mizigo yao,

Bandari ikibinafsishwa hakutokuwa na misamaha ya Kodi Kama tulivozoea, Ndugu zetu wa karikaoo na wafanyabiashara wote waliozoea kukwepa Kodi lazima wakione chamoyo, pia Kuna uwezekano Kodi za kutoa mizigo badarini zikaongezeka Mara dufu

Sio hivyo tu pia Wafanyakazi wa bandarini wako hatarini Sana kupoteza ajira zao....
Yani Hilo la wafanya kazi wa bandari walaaahi wajiandae Nina uhakika Kuna mass retrenchment inakuja hapo!?? Wengi wataondoka watakuja wafilipicho cheap labour ya hatari !!
 
Back
Top Bottom