Tumechagua hovyohovyo, tusilalamike hovyohovyo

Fabian the Jr

JF-Expert Member
Aug 4, 2012
756
738
Ifike mahali watu tuwe responsible kwa maamuzi yetu tunayofanya. Hivi wewe unalima mpunga unategemea utavuna karanga?

Kila unaekutana nae sasa ivi ni kulaumu tu, oooh serikali inafanya mambo kwa kukurupuka, serikali inavunja katiba, serikali bla blaa, kwani wakati wa kampeni waliahidi nn? Wanatekeleza ilani za vyama vyao, kwani tulitegemea nn tulipokuwa tunachagua?

Tukiambiwa kwamba watanzania sisi ni wajinga tunakasirika mpaka basi, lakini je, huu sio ujinga kweli? Watu walipokuwa wanazungumza mabadiliko ya mfumo hatukutaka hata kusikia lolote zaidi ya kutoa matusi tu, alafu leo tunaanza kulalama, ooh serikali....

Nimekutana na rafiki yangu leo ambae kala sana pesa za uchaguzi zile, na kuvaa sana zile t shirt na suluari, hakutaka kusikiliza wala kuambiwa lolote yeye alichokuwa anakijua ni kupinga tu mpaka mapovu yamtoke, leo nakutana nae analalamikia serikali, maisha yamekuwa magumu, huu sio ujinga ni nini?

Tumechagua hovyo hovyo tusilalame hovyohovyo.

Fabian Izukene
 
Naona vibaka na mafisadi mmejipanga kwenye mitandao ya kijamii...mtaishia humu humu...ila mtaani na vijijini tunamuelewa sana JPM
 
Waliochagua hovyo ni wale waliochagua mafisadi wenzao...sisi tuliochagua vizuri tunakula raha ya uadilifu
 
  • Thanks
Reactions: lup
Tusilaumu watanzania hawakumpa kura za kutosha ila mfumo wetu wa uchaguzi ulimbeba.
Ukawa 2015 Ukisema uongo kwa sababu ya kutafuta sifa hutakaa uzipate.,huo mfumo uliombeba tunaomba udhibitishe japo kwa mistari kumi tu, Vinginevyo utambue kuwa hakuna apatae sifa kwa mungu kwa kusema uongo. Magufuli alichaguliwa kwa kura zaidi ya milion nane kwa sababu wana CCM waliojiandikisha kupiga kura ni zaidi ya milion nane na nusu sasa wewe unaejiita UKAWA20....
 
Ifike mahali watu tuwe responsible kwa maamuzi yetu tunayofanya. Hivi wewe unalima mpunga unategemea utavuna karanga?

Kila unaekutana nae sasa ivi ni kulaumu tu, oooh serikali inafanya mambo kwa kukurupuka, serikali inavunja katiba, serikali bla blaa, kwani wakati wa kampeni waliahidi nn? Wanatekeleza ilani za vyama vyao, kwani tulitegemea nn tulipokuwa tunachagua?

Tukiambiwa kwamba watanzania sisi ni wajinga tunakasirika mpaka basi, lakini je, huu sio ujinga kweli? Watu walipokuwa wanazungumza mabadiliko ya mfumo hatukutaka hata kusikia lolote zaidi ya kutoa matusi tu, alafu leo tunaanza kulalama, ooh serikali....

Nimekutana na rafiki yangu leo ambae kala sana pesa za uchaguzi zile, na kuvaa sana zile t shirt na suluari, hakutaka kusikiliza wala kuambiwa lolote yeye alichokuwa anakijua ni kupinga tu mpaka mapovu yamtoke, leo nakutana nae analalamikia serikali, maisha yamekuwa magumu, huu sio ujinga ni nini?

Tumechagua hovyo hovyo tusilalame hovyohovyo.

Fabian Izukene

huku kwetu kuna mmoja yeye amekula hizo hela kati ya 45 , katumia 18, tu nyingine hazionekani na sasa ameitwa na takukuru aeleze hela zilikoenda
 
Eti mfumo wa Uchaguzi ulimbeba CCM majimbo 190, UKAWA majimbo 39 mfumo upi uliombeba? Mkubali kuchindwa nyie UKAWA. Dhambi ya Ukabila, Ukanda na Ubaba mkwe utaendelea kuitawala CHADEMA. Mkitaka kushinda Uchaguzi muondoe Ukabila, Ukanda na kurithishana CHAMA na wakwe zenu, vinginevyo mtaishia mafuriko ya kutengeneza na kununuliana VIROBA ili mpigiwe kura
 
Eti mfumo wa Uchaguzi ulimbeba CCM majimbo 190, UKAWA majimbo 39 mfumo upi uliombeba? Mkubali kuchindwa nyie UKAWA. Dhambi ya Ukabila, Ukanda na Ubaba mkwe utaendelea kuitawala CHADEMA. Mkitaka kushinda Uchaguzi muondoe Ukabila, Ukanda na kurithishana CHAMA na wakwe zenu, vinginevyo mtaishia mafuriko ya kutengeneza na kununuliana VIROBA ili mpigiwe kura
Hapo ndo kuna tatizo, kwann kila anaekuja kuongea anaongelea vyamaa? Kwann tusiachane na vyama kwa muda tukaongelea maslahi mapana ya nchi yetu kama watanzaniaaa?
 
Ifike mahali watu tuwe responsible kwa maamuzi yetu tunayofanya. Hivi wewe unalima mpunga unategemea utavuna karanga?

Kila unaekutana nae sasa ivi ni kulaumu tu, oooh serikali inafanya mambo kwa kukurupuka, serikali inavunja katiba, serikali bla blaa, kwani wakati wa kampeni waliahidi nn? Wanatekeleza ilani za vyama vyao, kwani tulitegemea nn tulipokuwa tunachagua?

Tukiambiwa kwamba watanzania sisi ni wajinga tunakasirika mpaka basi, lakini je, huu sio ujinga kweli? Watu walipokuwa wanazungumza mabadiliko ya mfumo hatukutaka hata kusikia lolote zaidi ya kutoa matusi tu, alafu leo tunaanza kulalama, ooh serikali....

Nimekutana na rafiki yangu leo ambae kala sana pesa za uchaguzi zile, na kuvaa sana zile t shirt na suluari, hakutaka kusikiliza wala kuambiwa lolote yeye alichokuwa anakijua ni kupinga tu mpaka mapovu yamtoke, leo nakutana nae analalamikia serikali, maisha yamekuwa magumu, huu sio ujinga ni nini?

Tumechagua hovyo hovyo tusilalame hovyohovyo.

Fabian Izukene

Ni nchi ya watu wanyonge wasio jitambua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom