Hii kauli ya tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu huwa naisikia wakati wa kuelekea chaguzi...hasa upande wa CHADEMA. baada ya uchaguzi huwa siisikii tena....
Does it mean hajtujamaliza na Mungu ? au huwa mnamaanisha nini?
Umeelewa swali ndugu?Mbona kampeni zilishaisha kwani siku hizi unamwona maghufuli anapiga push up, kaacha kwa kuwa kipindi cha kampeni kimeisha, huu ni muda muafaka wa vijana wa ccm kuelezea umma wa tz na dunia nzima mazuri anayofanya maghufuli, tatizo lenu hamtaki kufanya kazi hiyo mnataka vijana wa upinzani ndiyo wafanye
Umeelewa swali ndugu?
Kwa mlio anza na shetani haina maana yoyote.Shughuli huwa ni kubaka demokrasia tuHii kauli ya tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu huwa naisikia wakati wa kuelekea chaguzi...hasa upande wa CHADEMA. baada ya uchaguzi huwa siisikii tena....
Does it mean hajtujamaliza na Mungu ? au huwa mnamaanisha nini?
CCM = MsukuleHii kauli ya tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu huwa naisikia wakati wa kuelekea chaguzi...hasa upande wa CHADEMA. baada ya uchaguzi huwa siisikii tena....
Does it mean hajtujamaliza na Mungu ? au huwa mnamaanisha nini?