BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,487
- 14,064
Ukifuatilia Charls Kimei bungeni michango yake huwa ana hoja sana huwezi mlinganisha na wakina Abood ambao kwanza hawaongeagi au wakina Kibajaji ambao wanaongea utumbo na still jimboni kuna porverty ya kutisha.
Hii sera ya kugeuza kwamba Wabunge ndio wanao leta maendeleo tena Jimboni sio nchi nzima, na sio Serikali. Hii inawaletea sana shida baadhi ya wabunge hasa kule ambako raia jitambua. kule wasiko jitambua ni furaha kwa Mheshimiwa.
Tujiulize kwa kina Ndugai kuna maendeleo gani pale jimboni kwake? usha sikia raia wanapiga kelele? nenda huko kanda ya ziwa kwao Msukumu kuna umasikini sana ila raia wako kimya huwezi wasikia kamwe kwa nini? Wanada nganywa na mifuko ya cement na Bati na gari za kubeba wagonjwa.
Bunge kokote kule Duniani ni kutunga sera ambazo hizo sera ndio huletea wananchi maendeleo na sio vinginevyo, Ila sasa Tanzania ni kinyume chake yaani tunaamini kazi ya maendeleo ni ya Mbunge na sio Serikali tena maendeleo ya jimbo.
Ndio maana sasa wakina Abood huwezi wasikia Bungeni ila kule mtaani wanatoa michango mara Mabasi yanabea waombolezaji na raia kwa sababu ni wajinga wao wanaona ni maendeleo.
Hii ya kuaminishwa kwamba kazi ya Wabunge sio tena kutunga Sera tena na mbunge Tanzania hapimwi kwa sera zake Bungeni hapana anapimwa kwa idadi ya mifuko ya Cement alio toa, Mbao, Bati, Makaravati alio jenga na kadhalika na magari ya kubebeba wagonjwa alio toa.
Mbunge kama Charles Kimei ukisikiliza michango yake Bungeni ni mizuri sana na hoja za maana sana Bungeni ila sasa anahukumiwa kwa mfumo tulio jiaminisha.
Kwani Majimbo mengine hao wabunge wamefanya nini?! Pale Morogoro Abood anafanya nini zaidi ya kutoa mabus yaende msibani, Dodoma mjini kuna nini pale kama sio Serikali yenyewe inajenga majumba pale? Dar kule si ni full matatizo? huko kwa wakina Majariwa unazani kuna asali na Maziwa? Mondul si alikuwepo MWamba mwenywe unazania kulikuwa na maziwa na asali?
Unazania hata pale Chato mabomba yalikuwa yanatoa maziwa badala ya Maji?
Kabla ya Kimei si kulikuwa na Mbunge na kabla ya huyo si alikiwepo tena mwingine? Ok MO alisha wahi kuwa mbunge Singida mjini alifanya nini na pesa zake?
Kwa mujibu wa muundo wa utawala katika nchi hii Jimbo hata Mbunge asipo kuwepo kama ni miradi itaepelekwa tu, make wapo Wakurugenzi wa halimashauri ambao project nyingi ziko chuni yao.
Hakuna mbunge anaye weza leta maendeo labda atumie pesa zake mwenyewe, hakuna Mbunge anaye weza toa ajira kwa vijana tusiwe tunadanganywa kama maiti.
Bunge lingejikita kuibana Serikali kisawa sawa kusingekuwa na lawama lakini sasa Serikali haibanwi na raia wanaona Mbunge ndio analeta maendeleo kumbe sio.
Sasa wabunge wajanja wana take advantage Mjengoni Dodoma kimya kabisa, bunge likiisha anaenda na mifuko ya cement na bati kama danganya toto.
Nch nzima matatizo comon raia hawahangaiki nayo, Hakuna Jimbo hata moja raia utasikia wana mbana/Kumuuliza Mbunge wao yafutayo;
1. Sera ya biashara isio rafiki
2.Sera ya ajira
3.Matumizi makubwa ya serikali na ya anasa ya pesa za umma
4. Sera mbovu ya afya
5.Sera mbaya ya mfumo wa elimu Tanzania.
6. Sera ya Kodi,
7. Ufisadi ambao ndio chanzo cha yote.
Hayo na mengine hakuna mbunge anaulizwa jimboni na haya ndio ya msingi sana.
Hii sera ya kugeuza kwamba Wabunge ndio wanao leta maendeleo tena Jimboni sio nchi nzima, na sio Serikali. Hii inawaletea sana shida baadhi ya wabunge hasa kule ambako raia jitambua. kule wasiko jitambua ni furaha kwa Mheshimiwa.
Tujiulize kwa kina Ndugai kuna maendeleo gani pale jimboni kwake? usha sikia raia wanapiga kelele? nenda huko kanda ya ziwa kwao Msukumu kuna umasikini sana ila raia wako kimya huwezi wasikia kamwe kwa nini? Wanada nganywa na mifuko ya cement na Bati na gari za kubeba wagonjwa.
Bunge kokote kule Duniani ni kutunga sera ambazo hizo sera ndio huletea wananchi maendeleo na sio vinginevyo, Ila sasa Tanzania ni kinyume chake yaani tunaamini kazi ya maendeleo ni ya Mbunge na sio Serikali tena maendeleo ya jimbo.
Ndio maana sasa wakina Abood huwezi wasikia Bungeni ila kule mtaani wanatoa michango mara Mabasi yanabea waombolezaji na raia kwa sababu ni wajinga wao wanaona ni maendeleo.
Hii ya kuaminishwa kwamba kazi ya Wabunge sio tena kutunga Sera tena na mbunge Tanzania hapimwi kwa sera zake Bungeni hapana anapimwa kwa idadi ya mifuko ya Cement alio toa, Mbao, Bati, Makaravati alio jenga na kadhalika na magari ya kubebeba wagonjwa alio toa.
Mbunge kama Charles Kimei ukisikiliza michango yake Bungeni ni mizuri sana na hoja za maana sana Bungeni ila sasa anahukumiwa kwa mfumo tulio jiaminisha.
Kwani Majimbo mengine hao wabunge wamefanya nini?! Pale Morogoro Abood anafanya nini zaidi ya kutoa mabus yaende msibani, Dodoma mjini kuna nini pale kama sio Serikali yenyewe inajenga majumba pale? Dar kule si ni full matatizo? huko kwa wakina Majariwa unazani kuna asali na Maziwa? Mondul si alikuwepo MWamba mwenywe unazania kulikuwa na maziwa na asali?
Unazania hata pale Chato mabomba yalikuwa yanatoa maziwa badala ya Maji?
Kabla ya Kimei si kulikuwa na Mbunge na kabla ya huyo si alikiwepo tena mwingine? Ok MO alisha wahi kuwa mbunge Singida mjini alifanya nini na pesa zake?
Kwa mujibu wa muundo wa utawala katika nchi hii Jimbo hata Mbunge asipo kuwepo kama ni miradi itaepelekwa tu, make wapo Wakurugenzi wa halimashauri ambao project nyingi ziko chuni yao.
Hakuna mbunge anaye weza leta maendeo labda atumie pesa zake mwenyewe, hakuna Mbunge anaye weza toa ajira kwa vijana tusiwe tunadanganywa kama maiti.
Bunge lingejikita kuibana Serikali kisawa sawa kusingekuwa na lawama lakini sasa Serikali haibanwi na raia wanaona Mbunge ndio analeta maendeleo kumbe sio.
Sasa wabunge wajanja wana take advantage Mjengoni Dodoma kimya kabisa, bunge likiisha anaenda na mifuko ya cement na bati kama danganya toto.
Nch nzima matatizo comon raia hawahangaiki nayo, Hakuna Jimbo hata moja raia utasikia wana mbana/Kumuuliza Mbunge wao yafutayo;
1. Sera ya biashara isio rafiki
2.Sera ya ajira
3.Matumizi makubwa ya serikali na ya anasa ya pesa za umma
4. Sera mbovu ya afya
5.Sera mbaya ya mfumo wa elimu Tanzania.
6. Sera ya Kodi,
7. Ufisadi ambao ndio chanzo cha yote.
Hayo na mengine hakuna mbunge anaulizwa jimboni na haya ndio ya msingi sana.