Tume ya uchaguzi

Tume ya uchaguzi

hhsmakwato

Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
97
Reaction score
51
Wanajamvi leo nimepata fursa ya kuangalia taarifa ya habar ITV . Tume imesema matokeo yote yatatangazwa kuanzia ngazi za chini isipokuwa kura za uraisi tuu, Je hili halitoweza kuleta matatizo na kwann tusipewe matokeo ya raisi kuanzia ngazi ya chini...?

Labda sijaelewa munieleweshe.
 
Wanajamvi leo nimepata fursa ya kuangalia taarifa ya habar ITV . Tume imesema matokeo yote yatatangazwa kuanzia ngazi za chini isipokuwa kura za uraisi tuu, Je hili halitoweza kuleta matatizo na kwann tusipewe matokeo ya raisi kuanzia ngazi ya chini...?

Labda sijaelewa munieleweshe.
Sijaelewa yaani kura za urais ziwe SIRI??! ZITUMWE TUME KIMYA KIMYA.. WATU WASIJUE CHOCHOTE KUHUSU KURA ZA URAISI.. JE NI KWELI??!! MBONA UPUUZI MKUBWA SANA KAMA WATU WATALIAFIKI HILO!!?!
 
kila kituo kura za urais zitahesabiwa na kujazwa fomu maalum nizo ndizo tutakuwa tunaziweka hewani kama ni kutufunga waongeze magereza.Mwaka huu watakoma kulinga.
 
tatizo lenu mnajichechetua mno.....kura mtashindwa kwa uhalali kabisaaaa....na mnalijua kabisa,ila kujifanya kichwa maji tu kwamba ati mtashinda....
oka
tunalolisubiria hivi sasa toka kwenu ni milalamo kwamba mmeibiwa kura
 
tatizo lenu mnajichechetua mno.....kura mtashindwa kwa uhalali kabisaaaa....na mnalijua kabisa,ila kujifanya kichwa maji tu kwamba ati mtashinda....
oka
tunalolisubiria hivi sasa toka kwenu ni milalamo kwamba mmeibiwa kura

Tatizo mfumo wa TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ( nec ) haipo huru inapokea maelekezo toka juu.
 
Back
Top Bottom