moseskwaslema
Member
- May 3, 2012
- 92
- 13
Watu wa wilaya ya monduli tunasubiri sana kwa hamu tume ya katiba mpya,au tumechakachuliwa na mzee wetu wa ngarash jamani? tunawasubiri ili tuweze kutoa mawazo/mapendekezo yetu ili tuwe na katiba ambayo ni justice and not reliable to ccm side,otherwise we are finished 2015 here at monduli kwani mzee wa ngarash ni noma.