Says who?
Umezungumza na acamillius Wambura kakwambia mitutu ya bunduki za waTanzania sasa zinarudishwa kwa wenyewe?
Unayo maana gani na hiyo "It's game over"?
Hiyo tume itaendelea na kazi yake iliyoundiwa; ya kusafisha uchafu; na akina Camillius wenyewe wasipokuwa makini ndio watakuwa Bangusilo, muunda tume atabaki safi kabisa kwenye ripoti yao
Hao akina Camillius ni vikaratasi tu vya chooni; vitawekwa vingine na maisha yataendelea kama kawaida; huku waTanzania wakikandamizwa vilevile.