Nawashauri tume ya uchaguzi ihakikishe vibanda vya kujihifadi wakati kujaza karatasi za kura viwekwe kwa mtindo ambao mpiga kura ataonekana mgongo ili kuepuka watu kuingia na karatas za kura feki
Ni kweli kila mmoja ana haki ya kuhakikisha analinda kura yake,kikubwa ni kwa mawakala kumake sure wanasimamia kila kitu vizuri,shida ni wale ndugu zetu wanaonunuliwa tuwe makini sana kuwaachia uwakala maana tumeshaona na hata kwenye kurudisha form imekuwa ni changamoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.