Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 16,456
- 18,489
Inayoitwa tume huru ya uchaguzi inatuona sisi ndezi!
Yaani eti kati ya vitu vyote vya kuweka uwanja sawa kwa wagombea imeona kugawa magari ndiyo njia mwafaka! Kwa nini inapata kigugumizi kuamua kwenye reforms za uchaguzi?
Sisi tunalia na DEDs kiwa wasimamizi wa uchaguzi mbona haisikii? Kama kuweka uwanja sawa kwa nini wengine wamefungwa mikono na miguu?
Yaani eti kati ya vitu vyote vya kuweka uwanja sawa kwa wagombea imeona kugawa magari ndiyo njia mwafaka! Kwa nini inapata kigugumizi kuamua kwenye reforms za uchaguzi?
Sisi tunalia na DEDs kiwa wasimamizi wa uchaguzi mbona haisikii? Kama kuweka uwanja sawa kwa nini wengine wamefungwa mikono na miguu?