Tumchambe

Tumchambe

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Wadau wa jf hamjamboo?
Mimi ninao muda wa kumweka mtu sawa iwapo anakukera wewe unaniambia tu namchamba .
Awe Ke Me anayekukera unasema sababu basi namchamba
 
Hebu Aza Na Mimi Tuone Kama Kweli Unaweza Kuchamba.
 
Hata kama ni ww mwenyew unaenikera utajichamba?
Swali hili ni kwa niaba ya unaowakera ww
 
Wambeya kanyaga, wadaku daku kama mtoa mada kanyaga kanyaga kanyaga kanyaga, kanyaga kanyaga kanyaga kanyaga, kanyaga
 
Back
Top Bottom