Tumbo linakata sana, naharisha sana

Tumbo linakata sana, naharisha sana

Kwanini usiende hospital mapema? Kuharisha ni ishara kwamba tumboni kimeingia kitu ambacho sio cha kawaida
 
Pole sana aisee...
Tafuna mkaa kukata maumivu pia Kamchek dakital.
Pia jitahid maji mengi kunywa.
 
Tumbo linakata sina mimba ila naharisha sana kichwa kinauma, shida inaweza kuwa ni nini???
nenda kafanye hivi kwenye station ya train afu uje kunishukuru
1751219441211.jpg
 
Back
Top Bottom