Pale kwenye sanamu mlkuwa manakusanyika sikukuu kwenye ile bustani.Mkawa kama Ulayanakumbuka sana kawawa kwa kamanda jirani na idara ya shamba kwenye matunda na manguruweni kama unaenda dairy farm kwa mzee mwaipaja kuelekea air port jirana na chuo cha kilimo karibu na sanamu la williamson na mbuyu wake
Chekingo, pakata, mutembei na mwalimu kasoyaga R.I.P.maskini mwadui kwisha habari yake imebaki story,wapi swai mikate,wapi hiporaiti moshi,wapi dkt tosiri,wapi chekingo na kabondo mapilot wetu enzi hzo,wapi mwalimu mutembei na mwalimu musa wa ts,wapi mwalimu gontako na mwalimu kachuchuru wa mwadui sec,wapi mwalimu kasoyaga wa mwadui mashariki,wapi mzee ngoromole,mzee ndaki konda wa mabasi ya mwadui,wapi idara ya shamba,wapi dairy farm,wapi golf,wapi ujamaa c,wapi posta na simu,daaah kweli mwadui ilikuwa nzuri sana,mzee wetu muhali,mzee wetu bugome,mzee kimolo,mzee kailembo dj mwakapesa,mzee hincha
Duuuh!!Yule mtu ni hatari sana,alikuwa na dawa hatari sana za kienyeji;sio unanukia mafuta ya Simba,bali unaonekana kama Simba na mbwa wote wanakukimbia...Ni habari nzito ambazo kwa sasa tunazihifadhi mpaka ipite walau miaka kadhaanieleze kidogo khsu huyu budoya eti alikuwa anapaka mafuta ya simba ili mbwa wa mwadui wamuogope,vp ulivyopita pale maganzo daya yupo na tagi tajiri?
wakinga wanaita vipembehapoMkuu kwenye kulinda nguzo za umeme umeme umenikumbusha mbali sana..tulikuwa tunalinda zamu ya masaa mawili mawili kila bweni, shy bush ikiwa na mabweni matano.. kipindi hicho nipo bweni la , mh. D. Kafulilaa akiwa bweni la tembo.. tukitoka kulinda nguzo tunashuhudia mioto ya wachawi wa utemini wakicheza live kwenye viwanja vya shule...aisee kweli walisema kuwa uyaone
Mzee alikua na benz yake matata na alikua ananyoa way flani hivi amazing...kawa diwani? Kweli maisha hayana adabu kutoka mining manager mpk diwani ...duhMkuu huyu alikuwa Meneja,alitusumbua sana kwa kuunda Kikosi cha mbwa na Farasi waliokuwa wanapata mafunzo toka Nje ya nchi.Baada ya Ubaguzi wa rangi kuisha,wale mbwa wakawa wanaletwa toka South Africa,ile "specie" ya mbwa waliokuwa wanatumika kuuwa watu weusi wakati wa maandamano ya ubaguzi wa rangi S.Africa.
Wale mbwa ndio waliletwa wakiwa na mafunzo makari sana na walikuwa mbwa katiri sana sana.Jamaa zetu wengi walikufa kwa kuumwa na wale mbwa.Ninamkumbuka huyo Meneja akiitwa Sylivester Mipawa.Kumbe sasa ni diwani?Duuuh.... kituli one mpe salamu anko wako mzee wa benzi
Umejichanganya na maelezo yangu, kutoka kwenye maelezo yako, hapo ndipo aliishi mwl kachuchuru mwanzoni. Baada ya hapo Kuna nyumba nyingine alihamia maaneo ya na pale alipoishi mwanzoni. Mimi sio mtoto wa Gordon ndugu.Dah, pole sana mkuu kwa msoto wa maisha, ama kwa hakika story yako imenivutia sana, imenipa somo kubwa sana la kujifunza japo ni story inayotisha inatia huruma na pia inasisimua kwa kuwa in true story, pole sana mkuu.