Tulitangaziwa Ndege itawasili Asubuhi Saa 4, ila imewasili / inawasili Mchana huu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,738
109,167
Rais angekuwepo bado Kipenzi cha Wengi na changu hasa GENTAMYCINE Hayati John Pombe Magufuli ( JPM ) Ndege hii ingewasili muda ule ule wa Asubuhi kama tulivyotangaziwa.

Ukiona unapuuzwa huku ukiwa wa Muhimu katika Ardhi fulani jua hufai na hata katika Vita hutakiwi Kuaminika kwakuwa huna UMAMLAKA ( Authority ) ambayo hutolewa kwa Wachache na Mwenyezi Mungu kama alivyoitoa Kwangu GENTAMYCINE, Hayati Magufuli, aliyopewa Rais wa Rwanda Kagame, Rais wa Korea Kaskazini, Rais wa Urusi Putin na Role Model wangu Waziri Mkuu wa Israeli MBABE, MSOMI, MMEDANI na MWEREVU Benjamin BIBI Netanyahu.

au siku hizi Angani nako kuna Foleni?
 
Rais angekuwepo bado Kipenzi cha Wengi na changu hasa GENTAMYCINE Ndege hii ingewasili muda ule ule wa Asubuhi kama tulivyotangaziwa.

Ukiona unapuuzwa huku ukiwa wa Muhimu katika Ardhi fulani jua hufai na hata katika Vita hutakiwi Kuaminika kwakuwa huna UMAMLAKA ( Authority ) ambayo hutolewa kwa Wachache na Mwenyezi Mungu kama alivyoitoa Kwangu GENTAMYCINE, Hayati Magufuli, aliyopewa Rais wa Rwanda Kagame, Rais wa Korea Kaskazini, Rais wa Urusi Putin na Role Model wangu Waziri Mkuu wa Israeli MBABE, MSOMI, MMEDANI na MWEREVU Benjamin BIBI Netanyahu.

au siku hizi Angani kuna Foleni?
siku hizi imeshakuwa kawaida ndege kuchelewa
 
Rais angekuwepo bado Kipenzi cha Wengi na changu hasa GENTAMYCINE Ndege hii ingewasili muda ule ule wa Asubuhi kama tulivyotangaziwa.

Ukiona unapuuzwa huku ukiwa wa Muhimu katika Ardhi fulani jua hufai na hata katika Vita hutakiwi Kuaminika kwakuwa huna UMAMLAKA ( Authority ) ambayo hutolewa kwa Wachache na Mwenyezi Mungu kama alivyoitoa Kwangu GENTAMYCINE, Hayati Magufuli, aliyopewa Rais wa Rwanda Kagame, Rais wa Korea Kaskazini, Rais wa Urusi Putin na Role Model wangu Waziri Mkuu wa Israeli MBABE, MSOMI, MMEDANI na MWEREVU Benjamin BIBI Netanyahu.

au siku hizi Angani kuna Foleni?
Sasa mjipiganie si mlimfanyia fitna mpaka aka.... sasa kila mtu na lwake. Ni urefu wa kamba na uwezo wa kulamba asali kama umekaa sehemu ambayo walambisha asali wanapitia. Bila hivyo.... Bado sana huu ni mwanzo tu....
 
Rais angekuwepo bado Kipenzi cha Wengi na changu hasa GENTAMYCINE Ndege hii ingewasili muda ule ule wa Asubuhi kama tulivyotangaziwa.

Ukiona unapuuzwa huku ukiwa wa Muhimu katika Ardhi fulani jua hufai na hata katika Vita hutakiwi Kuaminika kwakuwa huna UMAMLAKA ( Authority ) ambayo hutolewa kwa Wachache na Mwenyezi Mungu kama alivyoitoa Kwangu GENTAMYCINE, Hayati Magufuli, aliyopewa Rais wa Rwanda Kagame, Rais wa Korea Kaskazini, Rais wa Urusi Putin na Role Model wangu Waziri Mkuu wa Israeli MBABE, MSOMI, MMEDANI na MWEREVU Benjamin BIBI Netanyahu.

au siku hizi Angani kuna Foleni?
hali ya hewa angani imelazimu logistics zote kubadilika na ni jambo la kawaida kabisa 🐒
 
Rais angekuwepo bado Kipenzi cha Wengi na changu hasa GENTAMYCINE Ndege hii ingewasili muda ule ule wa Asubuhi kama tulivyotangaziwa.

Ukiona unapuuzwa huku ukiwa wa Muhimu katika Ardhi fulani jua hufai na hata katika Vita hutakiwi Kuaminika kwakuwa huna UMAMLAKA ( Authority ) ambayo hutolewa kwa Wachache na Mwenyezi Mungu kama alivyoitoa Kwangu GENTAMYCINE, Hayati Magufuli, aliyopewa Rais wa Rwanda Kagame, Rais wa Korea Kaskazini, Rais wa Urusi Putin na Role Model wangu Waziri Mkuu wa Israeli MBABE, MSOMI, MMEDANI na MWEREVU Benjamin BIBI Netanyahu.

au siku hizi Angani kuna Foleni?
Acha tabia mbaya ya kuwasemea wengine, kama kipenzi chako basi ni chako wewe tu.
 
Rais angekuwepo bado Kipenzi cha Wengi na changu hasa GENTAMYCINE Hayati John Pombe Magufuli ( JPM ) Ndege hii ingewasili muda ule ule wa Asubuhi kama tulivyotangaziwa.

Ukiona unapuuzwa huku ukiwa wa Muhimu katika Ardhi fulani jua hufai na hata katika Vita hutakiwi Kuaminika kwakuwa huna UMAMLAKA ( Authority ) ambayo hutolewa kwa Wachache na Mwenyezi Mungu kama alivyoitoa Kwangu GENTAMYCINE, Hayati Magufuli, aliyopewa Rais wa Rwanda Kagame, Rais wa Korea Kaskazini, Rais wa Urusi Putin na Role Model wangu Waziri Mkuu wa Israeli MBABE, MSOMI, MMEDANI na MWEREVU Benjamin BIBI Netanyahu.

au siku hizi Angani nako kuna Foleni?
'
 
Back
Top Bottom