Tulisema No Elections.

Tulisema No Elections.

MlimaSayuni

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
6,827
Reaction score
12,320
Samia ondoka Tanzania Bara, soon Maandamano yanakuja Dodoma, now tunafocus na Chalamila ili Chawa na viongozi wote mjue, tulijiandaa...

Na tulipanga haya maandamano kwa awamu, bado tuko kwenye awamu ya kwanza kabisa.
 
Back
Top Bottom