Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,517
- 1,869
Huyu siyo dictator ila ni chiziHakika acha tunyooshwe.
Huyu siyo dictator ila ni chiziHakika acha tunyooshwe.
mpaka chadema was machukua lowasa wakisema japo ni mwizi lakini anamaamuzi NCHI HII INATAKA MTU MWENYE MAAMUZI MAGUMU BHANAWatanzania tulisikika tukitamani nchi kutawaliwa na dictator!Kisa kuchoshwa na siasa za Rais mstaafu kuwa awawajibishi watendaji,maliasili zinaporwa mchana kweupe,rushwa imekithiri!Natukawa tukiomba tupate dikiteta angalau kwa kipindi cha muongo mmoja!
Sasa Mungu katupa tulichokitaka tunalia nini??acha tunyoshwe.



