Duh! Unazungumza lugha ngapi kwa ufasaha,hayo labda ni maigizo.they do everything for theirself...! it seems bad to us but good for them! why..?
if your not tought by people or your own mind,world will do it.
Mimi sijaona mwanaume hata mmoja palewanaume wote hao hapo kwenye sherehe wanafanya nini wanawachekelea wanawake wakioana??
Mimi sijaona mwanaume hata mmoja pale
ha ha! hata sijielewagi hiyo ilikuja na ndege hivyo mengine yalianguka!Duh! Unazungumza lugha ngapi kwa ufasaha,hayo labda ni maigizo.
Utajajua kuwa simu yangu haina shida siku mshana jr akituletea picha nyingine...mmoja kati ya hao unaowadhania ni wanaume anaolewasimu yako iko na shida.
ha ha ha! mara nyingi huwa naongeaga kwa mafumbo! kama ni hilo nishakwambia zaidi ya mara elfu kumi! we ni zaidi ya Monalisa!Aah
Ss mbona cku zote uniambiagi eti?
Mshana umeanza nimekwambia kaa mbali nimempataje kama me domo zege? me situmii TUNGURE kama ww!😀Domo zege[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
ha ha ha! mara nyingi huwa naongeaga kwa mafumbo! kama ni hilo nishakwambia zaidi ya mara elfu kumi! we ni zaidi ya Monalisa!
[emoji125] [emoji125] [emoji125]Mshana umeanza nimekwambia kaa mbali nimempataje kama me domo zege? me situmii TUNGURE kama ww!😀
Ana pozi nzuri sana, pia urefu wake umpendezesha, ila hapo kwa kujifanya mwanaume amekosea sana.Hako kanako jifanya ka bwana harusi ni kazuri sijui kwanini wanafanya ujinga huo!
ukiendelea ntaenda kushughulika na yule naz.....![emoji125] [emoji125] [emoji125]