Tuliowahi okota embe dodo tukutane hapa

Tuliowahi okota embe dodo tukutane hapa

aise nikiwa shule boarding mda wa uji unakaribia halafu sina hela ya mandaz ghafla kucheki dawati la pembeni naona elf 30 chini yaani tactic niliyoitumia kuokota ile hela bila mwenye nayo kustukia Mungu mwenyewe anajua.
 
Acha woga.. Ivi unajua hata Rais Magufuli aliwahi okota dodo pale bandarini la vichwa vya train.. umewabi sikia amerudisha.[emoji1787]
Mi binafsi mara kadhaa tangu kwetu kijijini wenye maduka wamekuwa wakinirudishia chenji zaidi,nilipokuwa mdogo nilidhani wananitega,ila hata nilipohama ktk harakati za maisha hilo jambo likaendelea,hadi makondakta wa daladala vilevile wananizidishia mara kadhaa.

Nashukuru Mungu sijawahi ondoka na chenji ya mtu
 
Ukizidishiwa chenji afu usirudishe huo ni wizi
Ukitumiwa pesa afu usirudishe pia nao ni wizi karipoti kwenye mtandao husika
 
Kwenye mobile money TCRA walisha twambia tusirudishe[emoji1787]
Ukizidishiwa chenji afu usirudishe huo ni wizi
Ukitumiwa pesa afu usirudishe pia nao ni wizi karipoti kwenye mtandao husika
 
Acha woga.. Ivi unajua hata Rais Magufuli aliwahi okota dodo pale bandarini la vichwa vya train.. umewabi sikia amerudisha.[emoji1787]
Siyo uoga ila siwezi kuondoka na mali/fedha isiyo yangu
 
Ukifurahia ulichokiokota ujue huko aliyepoteza analalamika au hata anamwaga chozi.........niliwahi kuokota sh elfu 42, nikafurahi sana, lakini baada ya mwezi mmoja hivi nilikuja kupoteza sh laki 2 na elfu 80........machungu yake yake sitaki kabisa kuyakumbuka, sasa hivi nikiokota hela basi nitakaa eneo lile hata kwa nusu saa ili nikiona mtu anakuja huku anaangzaangaza chini najua ndio mwenye mzigo
duh mkuu uliokote mbele then ukapigwa nyuma
 
Nimewahi kutoa Sh 400,000 kwenye ATM lakini pesa haikukatwa kwenye akaunti na nilipoomba statement haikuonesha hata kama kuna huo muamala umefanyika Siku hio na sikuwahi kupigiwa simu kuulizwa na benki husika,miasha yana maajabu!
 
Hiyo Ilikuwa Zamani
Mtoto Mwenyewe Wanayesema Halali Na Hela Siku Hizi Anaikamata Mkononi Mpaka Asubuhi! Aende Nayo Shule Akale Sambusa Za Mama Wawili!
 
Nikiwa nakaa geto, nakumbuka nilikuwa nimejilaza nikiwa na ugwadu hatari usiku, nikaamka kwenda choo cha nje kukojoa, Mara ghafla nikaona mama mmoja anakuja mbio anaomba nimuhifadhi kapigwa na mmewe kakimbia, alikuwa kachaniwa nguo kabakiza nguo ya ndani tu!
Akili yangu haikuwa sawa wala sikuhoji sana nikamfungia nikasikilizia kwa mda kama kuna watu wanakuja, nikaona jamaa kapita speed road anakimbia kama anamfukuza mtu; alivyotokomea nikajua hapa salama!
nikarudi kwa bibie ndani nikamwambia usiogope! upo mahali salama!
nikampa juice akanywa, tukapiga story kidogo hadi temper ikamshuka, aisee alikuwa mzuri nikamtafna usiku huo hadi asubuhi , asubuhi nikatengeneza supu tukanywa, nikamtafna tena cha asubuhi then nikaenda dukani kumnunulia kanga, nikampa nauli akadai anaenda kwa ndugu zake! HADI LEO HILO ZARI HUWA NALIKUMBUKA! lilivyowahi kuja wakati mwafaka
 
Back
Top Bottom