Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,334
- 17,835
Kama wewe mkristo umeambiwa ktk maandiko ukiokota kondoo wa jirani yako alie potea mrudishie.Huamini katika miujiza ya mwenyezi Mungu.. Kuiba lazima kuwe na process ya planning .
Hujaiba ila umepewa
Kumbukumbu La Sheria 22 BHN
1 “Ukimwona ng'ombe au kondoo wa ndugu yako amepotea, usimwache, bali mrudishe kwa ndugu yako.
2 Lakini kama nyumbani kwa huyu ndugu si karibu au kama humjui mwenyewe, basi, utamchukua mnyama huyo nyumbani kwako, akae kwako mpaka mwenyewe atakapokuja, nawe umrudishie.
3 Utafanya vivyo hivyo kuhusu punda au vazi au kitu chochote ambacho nduguyo amekipoteza. Kamwe usiache kumsaidia."