Tuliowahi kutapeliwa tukutane hapa

Tuliowahi kutapeliwa tukutane hapa

jiwekuu770

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
2,246
Reaction score
1,646
Kama funzo kwa wengine na kujua mbinu za matapeli toa ushuhuda hapa
Naanza na mm mwenyewe

Mwaka2015😀odoma

Nilitapeliwa Simu ya itel Mpyaaa!! Kwa kubadilishana na Sony experia copy!!
Na kumuongezea lak1... Kuja kushtukia baada ya dk 5!!

Funzo:Haraka na tamaa cyo nzuri


Shuka ushuuda wako hapa!! Tukomeshe tabia hii
 
2010 mitaa ya msimbazi k/koo nilinunua kipande cha sabuni kwa 17,000 .Halafu baada kama ya wiki kupita yule jamaa nilikutana naye maeneo ya mchikichini k/koo ,nikampa salamu naye alinikumbuka,akanichangamkia kwa bashasha,then nikaachana naye bila kumuuliza chochote .maana kwa Hali niliyomkuta nayo sizani hata jero alikuwa nayo.teh teh teh
 
Nakumbuka mwaka 2007 Nilitapeliwa ubungo. Jamaa alikuwa anauza vocha aliingia kwenye gari nkampa elfu mbili anipe ya buku. Akanipa akanambia subiri chenji. Akawa anaendelea kuuza kwa abiria wengine. Alipomaliza akashuka kwenye basi akakimbia. Yani buku yangu ilienda hivi hivi. Mungu amzabe.
 
Mimi kama mlipa kodi nilitapeliwa mabilioni ya hela kupitia dili ya radar, na mmoja wa wapiga dili akasema hivyo ni vijisenti tu, mpaka leo hii namwangalia usoni wala hana aibu kwa wizi wake
 
Niliwakutapeliwa huku nikijua natapeliwa ili nione mwisho wake tena na Rafiki yangu sh 150,000 kuwa Kuna bosi anamfahamu ili aniunganishe na jambo Fulani x huku nikijua hamfahamu na wala sikuwahi kumwambia kuwa humjui.

Mungu alimpa adhabu mbaya sana baada ya Mke wake kapata mimba alinifuata ili aiote kwasababu haikuipanga.Acha mkeo azae tu akakataa na kutafuta madokta wa kuitoa lakini mimba iligoma

Na mwishoni Mke akajifungua mtoto kwenye ubongo tahira.

Huwa inaniuma sana kwasababu ni miaka 20 imepita Sasa toka kutapeliwa na mtoto tahira kuzaliwa.
 
Assist na Raimundo lakini mwisho wa siku ikageuka nimekopwa penzi.
 
2010 mitaa ya msimbazi k/koo nilinunua kipande cha sabuni kwa 17,000 .Halafu baada kama ya wiki kupita yule jamaa nilikutana naye maeneo ya mchikichini k/koo ,nikampa salamu naye alinikumbuka,akanichangamkia kwa bashasha,then nikaachana naye bila kumuuliza chochote .maana kwa Hali niliyomkuta nayo sizani hata jero alikuwa nayo.teh teh teh
Ha ha ha ha
 
Nakumbuka mwaka 2007 Nilitapeliwa ubungo. Jamaa alikuwa anauza vocha aliingia kwenye gari nkampa elfu mbili anipe ya buku. Akanipa akanambia subiri chenji. Akawa anaendelea kuuza kwa abiria wengine. Alipomaliza akashuka kwenye basi akakimbia. Yani buku yangu ilienda hivi hivi. Mungu amzabe.
Buku samehe tu mkuu
 
Niliwakutapeliwa huku nikijua natapeliwa ili nione mwisho wake tena na Rafiki yangu sh 150,000 kuwa Kuna bosi anamfahamu ili aniunganishe na jambo Fulani x huku nikijua hamfahamu na wala sikuwahi kumwambia kuwa humjui.

Mungu alimpa adhabu mbaya sana baada ya Mke wake kapata mimba alinifuata ili aiote kwasababu haikuipanga.Acha mkeo azae tu akakataa na kutafuta madokta wa kuitoa lakini mimba iligoma

Na mwishoni Mke akajifungua mtoto kwenye ubongo tahira.

Huwa inaniuma sana kwasababu ni miaka 20 imepita Sasa toka kutapeliwa na mtoto tahira kuzaliwa.
Watu huwa wanasahau kuna kesho
 
2009 nilitapeliwa shamba eka 3 mapinga nilinunua kumbe mm nikaacha kuwauliza majiran nliopakana nao...kumbe aliyeniuzia alipewa na kijiji na akaacha shamba likawa pori akanyang'anywa. ..akaja kuniuzia whle kijiji kilishamuuzia mwngne... nikampeleka polisi. .mke wake akawa anakosa ad nauli ya 500 ya kuja polis ikabdi nimuachie mzee akaniambia ni assume hyo pesa imepotea. ..iliniuma bt ilinipa moyo wa ujasiri wa kupambana ad nikatoboa
 
Kama funzo kwa wengine na kujua mbinu za matapeli toa ushuhuda hapa
Naanza na mm mwenyewe

Mwaka2015😀odoma

Nilitapeliwa Simu ya itel Mpyaaa!! Kwa kubadilishana na Sony experia copy!!
Na kumuongezea lak1... Kuja kushtukia baada ya dk 5!!

Funzo:Haraka na tamaa cyo nzuri


Shuka ushuuda wako hapa!! Tukomeshe tabia hii
Toka nilivyokuwa mdogo mpaka leo, mama yangu ananiambia changu ni chake, na chake ni changu. Ananiitaga baba yake. Hii ilimtokea yeye, but since it was mine too, acha nitoe ushuhuda.

2011, mama alikutana na kaka mmoja aliejifanya anafanya kazi kampuni X ya simu. Akawambia kampuni ilimpa tenda ya matangazo, but alihitaji more money. Kweli Mara ya kwanza mama alimpa 40m akapata na faida juu ya 30m, kwa maama tulirudishiwa 70m in 3 months. Kumbe ilikuwa trailer tu.

Huyu jamaa alikuwa anaendesha marange, land cruiser latest na BMW X5. Anapiga suit tu. Sehemu za kumeet ni golden tulip au White Sands... High class places.

Akaja Mara ya pili, now akasema tenda ya TZ yote, anahitaji 400m. Mama alimuamini sana. Akakopa mkopo bank wa mil 150, akauza magari, viwanja, akampatia 400m. Hapo home maisha yalichange kabisa, mama anatuhakikishia its temporary. Hakujua kuwa its gonna be for a very long time. Jamaa alivyopewa kesho yake akapotea.

Tulikuja kumpata South Africa, tukamuweka ndani, anasema na yeye katapeliwa na kazi alikuwa hafanyi kampuni ya simu X, na magari yalikuwa ya kukodi. Jamaa alikuwa hana kitu kabisa. Katupa Nyumba yake gofu... Matengenezo karibu 50m. Gorofa letu Mara ya mwisho ilifanyiwa valuation ilikuwa 556m. Tukashindwa kurudisha Nyumba imeuzwa. Leo hii tunapokaa. Naandika hapa nalia. Acha nifungue kitabu niendelee kusoma. Nitakujengea tena mama, changu ni chako.

-callmeGhost
 
Toka nilivyokuwa mdogo mpaka leo, mama yangu ananiambia changu ni chake, na chake ni changu. Ananiitaga baba yake. Hii ilimtokea yeye, but since it was mine too, acha nitoe ushuhuda.

2011, mama alikutana na kaka mmoja aliejifanya anafanya kazi kampuni X ya simu. Akawambia kampuni ilimpa tenda ya matangazo, but alihitaji more money. Kweli Mara ya kwanza mama alimpa 40m akapata na faida juu ya 30m, kwa maama tulirudishiwa 70m in 3 months. Kumbe ilikuwa trailer tu.

Huyu jamaa alikuwa anaendesha marange, land cruiser latest na BMW X5. Anapiga suit tu. Sehemu za kumeet ni golden tulip au White Sands... High class places.

Akaja Mara ya pili, now akasema tenda ya TZ yote, anahitaji 400m. Mama alimuamini sana. Akakopa mkopo bank wa mil 150, akauza magari, viwanja, akampatia 400m. Hapo home maisha yalichange kabisa, mama anatuhakikishia its temporary. Hakujua kuwa its gonna be for a very long time. Jamaa alivyopewa kesho yake akapotea.

Tulikuja kumpata South Africa, tukamuweka ndani, anasema na yeye katapeliwa na kazi alikuwa hafanyi kampuni ya simu X, na magari yalikuwa ya kukodi. Jamaa alikuwa hana kitu kabisa. Katupa Nyumba yake gofu... Matengenezo karibu 50m. Gorofa letu Mara ya mwisho ilifanyiwa valuation ilikuwa 556m. Tukashindwa kurudisha Nyumba imeuzwa. Leo hii tunapokaa. Naandika hapa nalia. Acha nifungue kitabu niendelee kusoma. Nitakujengea tena mama, changu ni chako.

-callmeGhost
Daahh hii story natamani ningeijua zaidi , imetake my attention!! Mkuu ebu endelea kutiririka
 
nlitapeliwa kizembe sana enzi hizo ndo nmemaliza la saba,yaani ilikuwa kizembe kiasi kwamba sijawahi msimulia mtu mpka leo almost miaka 15 baadae,ila nashukuru mungu since then mpaka leo sijawahi tapeliwa kwa kuzidiwa akili,skuiz ni watu wa karibu tu wananidhulumu hapa na pale sababu ya trust.
 
Nashukuru mungu mpaka sasa sijatapeliwa kwasababu njia zote za kutapeliwa nazifaham
eidha bado umdogo sana ama hujapitia purukushani za maisha na changamoto zake,ama unaishi shamba.inatapeliwa serikali,sembuse wewe
 
Back
Top Bottom