Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,005
Mamaeee watu hawataki utaniOoh yes! Tulisoma na dada mmoja chuo alivua Pete ya ndoa akiwa second year na akabadili dini akaolewa na jamaa mwingine.
Mumewe wa ndoa alikuwa anakuja na mtoto pale hostel mabibo yule dada hataki hata kuwaona.
Walipo maliza chuo wakazaa motto mmoja ila Sikh moja isiyo na Nina yule second husband alipigwa risasi usiku na watu wasiojulikana dada akabaki mjane
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app