MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 424
- 427
Umofia kwenu wana JF.
Niende kwenye mada moja kwa moja kamati ninayosemea hapa ni ile ya asili kamati ya roho mbaya.
Kwa ufupi kama uliwahi fanyiwa ulozi na wataalamu na kupotea kwenye ramani.
Miaka saba iliyopita aisee nilipata tabu sana kijana mimi mana tangu kuzaliwa mpaka form four sikuwahi kwenda kwa mganga wa kienyeji na kwa nadra sana hospital kutibiwa.
Muda mwingi nipo mzima wa afya kabisa nilianzia shule ya msingi kuuza vitumbua shuleni mama anachoma mimi nauza shuleni wakati wa mapumziko na lazima viishe nilikua nabeba deli la vitumbua 100 kila siku za shule wikiend natembeza barabarani na mitaani.
Shuleni nilipata umaarufu sana kwa sababu nilikua najulikana mana nilikua sikopeshi ila mzigo unaisha una ujanja wangu hadi walimu wananijua.
Nadhani mnajua tabia za wakaka wanaouzaga vitafunwa mashuleni
Likizo nilikua nachoma mihogo nauza mpaka form four nilipomaliza
Sasa kimbembe kilianza hapo baada ya kumaliza shule aisee ROHO YA KUKATALIWA ndio ilianza niingia taratibu vibiashara vyangu vilianza kudorora mara naumwa nikienda kupima ugonjwa sioni fulu kulala basi nilianza kuwa kama zuzu hivi.
Nilifika hadi muhimbili kupima ila hamna ugonjwa ila mwili unauma sana hatari viungo vyote vinauma sio mchezo.
Shangazi yangu mmoja akasema basi twende ukaombewe niliendaga kwa mzee wa ubungo tukasali ilifika mda wa maombi nikaombewa sana basi kila siku za maombi nilikua naenda hapo. Kidogo nilianza kupata nafuu. Miezi mitatu mfululizo ila hivyo hivyo tu.
Kuna bro wangu binamu yeye kasema dogo njoo twende sehemu fulani hivi kwa mtaalamu nikajua specialist kumbe wale wa tawile
Yule mzee aisee akawa anamwambia broo kuwa mdogo wako anatatizo la Roho ya kukataliwa yaani maneno yake direct yanafanana na yule mtumishi wa Mungu basi alinipa maujanja yake huku church baada ya miezi mitatu mbeleni nashukuru Mungu nilipona nimerudi kawaida kabisa....na kuanzia pale aisee nimejifunza maisha haya yana siri kubwa sana jamani sikieni tuu kamati ya ufundi sio mchezo unaweza kuwa mentor.
Share na wewe experience yako
Niende kwenye mada moja kwa moja kamati ninayosemea hapa ni ile ya asili kamati ya roho mbaya.
Kwa ufupi kama uliwahi fanyiwa ulozi na wataalamu na kupotea kwenye ramani.
Miaka saba iliyopita aisee nilipata tabu sana kijana mimi mana tangu kuzaliwa mpaka form four sikuwahi kwenda kwa mganga wa kienyeji na kwa nadra sana hospital kutibiwa.
Muda mwingi nipo mzima wa afya kabisa nilianzia shule ya msingi kuuza vitumbua shuleni mama anachoma mimi nauza shuleni wakati wa mapumziko na lazima viishe nilikua nabeba deli la vitumbua 100 kila siku za shule wikiend natembeza barabarani na mitaani.
Shuleni nilipata umaarufu sana kwa sababu nilikua najulikana mana nilikua sikopeshi ila mzigo unaisha una ujanja wangu hadi walimu wananijua.
Nadhani mnajua tabia za wakaka wanaouzaga vitafunwa mashuleni
Likizo nilikua nachoma mihogo nauza mpaka form four nilipomaliza
Sasa kimbembe kilianza hapo baada ya kumaliza shule aisee ROHO YA KUKATALIWA ndio ilianza niingia taratibu vibiashara vyangu vilianza kudorora mara naumwa nikienda kupima ugonjwa sioni fulu kulala basi nilianza kuwa kama zuzu hivi.
Nilifika hadi muhimbili kupima ila hamna ugonjwa ila mwili unauma sana hatari viungo vyote vinauma sio mchezo.
Shangazi yangu mmoja akasema basi twende ukaombewe niliendaga kwa mzee wa ubungo tukasali ilifika mda wa maombi nikaombewa sana basi kila siku za maombi nilikua naenda hapo. Kidogo nilianza kupata nafuu. Miezi mitatu mfululizo ila hivyo hivyo tu.
Kuna bro wangu binamu yeye kasema dogo njoo twende sehemu fulani hivi kwa mtaalamu nikajua specialist kumbe wale wa tawile
Yule mzee aisee akawa anamwambia broo kuwa mdogo wako anatatizo la Roho ya kukataliwa yaani maneno yake direct yanafanana na yule mtumishi wa Mungu basi alinipa maujanja yake huku church baada ya miezi mitatu mbeleni nashukuru Mungu nilipona nimerudi kawaida kabisa....na kuanzia pale aisee nimejifunza maisha haya yana siri kubwa sana jamani sikieni tuu kamati ya ufundi sio mchezo unaweza kuwa mentor.
Share na wewe experience yako