Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Niliwahi kuzichanga huko nyuma, nikafungua grocery! Kwa kuwa nami nilikuwa mwanachama, mwanzoni nilikuwa na wateja wazuri na waaminifu. Baada ya muda mikopo ikaanza. Mteja akikopa na deni likiwa kubwa, anahama kijiwe.

Nakumbuka mara ya mwisho nilifungia crate tupu kwani hata chupa walishakopa zikiwa na pombe ndani. My Take: Biashara ya pombe kama na wewe mmiliki ni mnywaji, usinywee pale, ni hatari kwa usalama wa grocery yako.
Namuhuria boscojirani angu
 
Namaliza chuo tu napta kazi. Inalipa mbaya nakodisha apartment. Nikifunga hesabu ya mwezi haina kwere nawatafuta washkaji tunasherehekea. Madem hawakauki kwangu full kujiachia ndani ya self contained. Luxury life. Sina saving. Siku nivofanyiwa auditing nakubaini madudu kazi ikaisha.

Nilipagawa nikarudi kwa baba na mama. Nikapatwa na maradhi ya watu wazima mapresha wakati niko kijana mbichii. Washkaji walinitenga. Mpaka leo sijapata kazi ya mana nahangaika kwa wahindi kazi mlima mshahara kichuguu. Nawazaga Sana'a.
Mulemule.😂😂😂😂😂

Hesabu ya mwezi ikigoma unarubuni mteja afanye prepayment, eti discount ya mwisho wa mwezi kumbe unaenda kubalance books.

Ukifunga mwezi simu zinaita, ulivyo taita mambo yakienda kombo kdg unamvutia waya wakala, unatoa maelekezo tu mkwanja unaingia. Mtasawazisha ukipiga michingo. Aisee.

Nipo nakimbizana na mama kuosha vyombo, kichwa kimepoa. June tunaeudi vitani.
 
Wenye hela sasa msisahau kuishi mpaka pesa zikaishia
Nyumba yako inatakiwa izungumze kabla yako

karibuni dollrubii_decors

SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
KARIBUNI SANA. FREE DELIVERY DAR

INSTAGRAM @dollrubii_decors
Sawa Doreen
 
Story za watu humu ndani zinafurahisha na kuelimisha sana. Nashukuru Mungu niliwahi haraka kukinai starehe. Mimi kulipia ada watoto, kuwajengea vitega uchumi na kuwatoa out na vacation inanipa raha kuliko kunywa pombe au mademu.
 
Back
Top Bottom