Tuliosoma SUA, Tukutane hapa

Tuliosoma SUA, Tukutane hapa

BLS 2010 _ 2013. Nilikuja kuanza BSc nikiwa kazini.tayr. Nilirudi kituoni kwangu baada ya kumaliza BLS. Nawakumbuka sana Dr Hoza nasikia sasa hivi amekuwa mpole sana... dr G Misinzo, Prof Balthazary alikuwa alikuwa academic advisor wangu mpk sasa bado nawasiliana nae na mara kadhaa nakutana naye maeneo ya moja baridi/ moja.
Dr. Max.... Prof Malago simsahau kwa aina ya mitihani aliyokuwa anatunga kila mtu na swali lake...
Msuli wa SUA respect!
mkuu unawafahamu vizuri sana hasa huyo Prof wa moja moto moja barid....safi sana
 
Animal science class 2012-2015.
SUA sio sehemu ya mchezo kabisa, kuna jamaa yetu Ali-disco semester
Ya mwisho.
Tulianza watu wengi sana, Baadae wengi walikimbia na wengine wali-disco.
Ajabu ya SUA ni kwamba wengine wadisco, wengine wanaingiza supplementary kibao na wengine hawashikwi toka mwanzo hadi mwisho.
 
Nakmbka Niko mwaka wa tatu mwaka 2013 kuna wazee walibahatika kupata mthani wa communication skills, wrote walidisco
 
mkuu unawafahamu vizuri sana hasa huyo Prof wa moja moto moja barid....safi sana
Huyu prof.Max katufundisha biochemistry (protein and protein metabolism), kuna wakati unakua huelewi kitu..sababu mambo yanachanganya mno.
Pia! Nakumbuka tulisha piga pepa tano za biochemistry ndani ya masaa matatu. Yaani prof.Balthazar alikuja na pepa yake (Carbohydrate metabolism), Prof. Mutayoba akaja na Enzymes, Dr.Mushi akaja na vitamins, prof.Max akaja na protein and protein metabolism na prof. Mzanila akaja na carbohydrates, fat&Lipids.
Hiyo siku tuliomba poo.
 
Huyu prof.Max katufundisha biochemistry (protein and protein metabolism), kuna wakati unakua huelewi kitu..sababu mambo yanachanganya mno.
Pia! Nakumbuka tulisha piga pepa tano za biochemistry ndani ya masaa matatu. Yaani prof.Balthazar alikuja na pepa yake (Carbohydrate metabolism), Prof. Mutayoba akaja na Enzymes, Dr.Mushi akaja na vitamins, prof.Max akaja na protein and protein metabolism na prof. Mzanila akaja na carbohydrates, fat&Lipids.
Hiyo siku tuliomba poo.
Hahahaaaaaa mkuu prof Mzanila atakuwa aliwabeba coz alikuwa fair kuliko maprof wote
 
Huyu prof.Max katufundisha biochemistry (protein and protein metabolism), kuna wakati unakua huelewi kitu..sababu mambo yanachanganya mno.
Pia! Nakumbuka tulisha piga pepa tano za biochemistry ndani ya masaa matatu. Yaani prof.Balthazar alikuja na pepa yake (Carbohydrate metabolism), Prof. Mutayoba akaja na Enzymes, Dr.Mushi akaja na vitamins, prof.Max akaja na protein and protein metabolism na prof. Mzanila akaja na carbohydrates, fat&Lipids.
Hiyo siku tuliomba poo.
hii department ya biochemistry ni hatari....wale wazee wako Serious sana kuanzi Prof Max, Prof baltazary, Prof mutayoba, Dr Mushi....wapo Serious sana..
 
Animal science class 2012-2015.
SUA sio sehemu ya mchezo kabisa, kuna jamaa yetu Ali-disco semester
Ya mwisho.
Tulianza watu wengi sana, Baadae wengi walikimbia na wengine wali-disco.
Ajabu ya SUA ni kwamba wengine wadisco, wengine wanaingiza supplementary kibao na wengine hawashikwi toka mwanzo hadi mwisho.
Sawa sawa bwana Nyocks
 
hii department ya biochemistry ni hatari....wale wazee wako Serious sana kuanzi Prof Max, Prof baltazary, Prof mutayoba, Dr Mushi....wapo Serious sana..
Mkuu, Dr Mushi kawaiga wale wazee. Yeye kama yeye mrembo tu hana shida kama alivyo mke wake. Kuna kozi ya molecular biology Dr Mushi alitufundisha mbona alikuwa poa tu ila kwenye biochemistry anakimbiza anacopy kwa wale madingi. Kwenye oral exam anauliza maswali tricky km Prof Muta hahahaaaa
 
Engineering mechanics, fundamentals of electrical engineering, fluid mechanics, waste water management, engineering drawings...

Dr baanda, prof mpanduji, mlengera, prof tarimo daaah long time sana!

SUA + engineering milele!
 
Engineering mechanics, fundamentals of electrical engineering, fluid mechanics, waste water management, engineering drawings...

Dr baanda, prof mpanduji, mlengera, prof tarimo daaah long time sana!

SUA + engineering milele!
Hongera tumekufaham na wewe
 
Back
Top Bottom