LUSHEPELEJA
Member
- Jan 24, 2017
- 53
- 22
Wanafunzi wenzangu tuliomo humu, naomba tubadilishane mawazo kidogo, tukumbushane, kuhusiana na shule yetu kongwe ya BULIMA SEC pia mimi binafsi bado nawakumbuka walimu wangu akina MSHEDEDE, MALIGANYA, IGALOGALO, NYANDA, YESU na wengine wengi, karibuni!!