A
Anonymous
Guest
Poleni na kazi za kuelimisha jamii na hongera pia kwa kuwasemea watu.
Mimi nilihitimu degree ya Saikolojia katika elimu mwaka 2023 ( Bachelor of Education in Psychology) chuo kikuu cha Dar es salaam.
Kwa bahati mbaya course hi haimo kwenye mfumo wa ajira tangu mwaka 2015 ambapo wahitimu ndio walikuwa wakichukuliwa kama wakufunzi wa vyuo vya kati (Ualimu).
Tangu mwaka huo hizo ajira hazipo kabisaa hata za kuokota, mbaya zaidi mwaka jana wa masomo kwa Udom walitangaza kufuta course hiyo na kwa Udsm ilifitwa kimyakimya, hawakudahili wanafunzi wapya isipokuwa wapo wanaoendelea (continuous).
Lakini ukwelii ni kwamba sisi ni multi-purpose, ni walimu maana tunajifunza all means of teaching and learning techniques, ni wanasaikolojia maqna tunasoma counselling, health, social psychology na nyingine nyingi, kwahyo tunaweza kuhudumu hospital kama counsellors, au shuleni kama watu wa malezi au kufundisha darasani kabisaa.
Hata kwenye Ajira portal utabahatika kusajiri tu lakini wakati wa kuomba unaambiwa hii kazi hai match na taaluma yako, sasa hatima yetu ni ninii, baadhi wanabahatika kwenda kufundisha Vyuo private hata vya ngazi za juu, ila kubahatika ni juhudi zao binafsi.
Hata nafasi za vyomba vya ulinzi bado unaonekana huna vigezo sababu course yako haikutajwa kwenye vigezo.
Ushauri wangu kwa serikali, kuna changamoto za afya ya akili walau waajiri wataalam wa Saikolojia ya Elimu kila shule, wawahudumie walimu na wanafunzi, vituo vya polisi vinahitaji wanasaikolojia, hospital, vituo vya Elimu maalum.
Na sehemu nyingi lukuki lakini tumekaliwa kimya na tumetelekezwa hakuna sehemu inatutambua, je hatima ya hwa wote ambao wapo mtaani tangu 2015 wataenda wapii, sio wote wengine walichukuliwa na taasisi na wengine vyuo binafsi je sisi wengine ipi ni hatima yetu?
Waziri Mkenda alipoulizwa kuhusu suala la UDOM kufuta course alitoa majibu soft sana ambayo hayakuwa suruhusho kabisa, je Serikali inaujua huu ukwelii?
Kuna watu hawapo kwenye mifumo yao ya ajira, jamii inawahitaji sana hawa watu lakini serikali haina muda nao, kiufupi tumeachwa matatanii
Mimi nilihitimu degree ya Saikolojia katika elimu mwaka 2023 ( Bachelor of Education in Psychology) chuo kikuu cha Dar es salaam.
Kwa bahati mbaya course hi haimo kwenye mfumo wa ajira tangu mwaka 2015 ambapo wahitimu ndio walikuwa wakichukuliwa kama wakufunzi wa vyuo vya kati (Ualimu).
Tangu mwaka huo hizo ajira hazipo kabisaa hata za kuokota, mbaya zaidi mwaka jana wa masomo kwa Udom walitangaza kufuta course hiyo na kwa Udsm ilifitwa kimyakimya, hawakudahili wanafunzi wapya isipokuwa wapo wanaoendelea (continuous).
Lakini ukwelii ni kwamba sisi ni multi-purpose, ni walimu maana tunajifunza all means of teaching and learning techniques, ni wanasaikolojia maqna tunasoma counselling, health, social psychology na nyingine nyingi, kwahyo tunaweza kuhudumu hospital kama counsellors, au shuleni kama watu wa malezi au kufundisha darasani kabisaa.
Hata kwenye Ajira portal utabahatika kusajiri tu lakini wakati wa kuomba unaambiwa hii kazi hai match na taaluma yako, sasa hatima yetu ni ninii, baadhi wanabahatika kwenda kufundisha Vyuo private hata vya ngazi za juu, ila kubahatika ni juhudi zao binafsi.
Hata nafasi za vyomba vya ulinzi bado unaonekana huna vigezo sababu course yako haikutajwa kwenye vigezo.
Ushauri wangu kwa serikali, kuna changamoto za afya ya akili walau waajiri wataalam wa Saikolojia ya Elimu kila shule, wawahudumie walimu na wanafunzi, vituo vya polisi vinahitaji wanasaikolojia, hospital, vituo vya Elimu maalum.
Na sehemu nyingi lukuki lakini tumekaliwa kimya na tumetelekezwa hakuna sehemu inatutambua, je hatima ya hwa wote ambao wapo mtaani tangu 2015 wataenda wapii, sio wote wengine walichukuliwa na taasisi na wengine vyuo binafsi je sisi wengine ipi ni hatima yetu?
Waziri Mkenda alipoulizwa kuhusu suala la UDOM kufuta course alitoa majibu soft sana ambayo hayakuwa suruhusho kabisa, je Serikali inaujua huu ukwelii?
Kuna watu hawapo kwenye mifumo yao ya ajira, jamii inawahitaji sana hawa watu lakini serikali haina muda nao, kiufupi tumeachwa matatanii