General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,301
- 23,023
Mkuu 'General', umeyasema mengi, baadhi yake nikikubaliana nayo.
Lakini niseme tu kwamba,'It is more complicated than that'!
Tundu Lissu ni jasiri, ndio, lakini watu hata kule kuvaa T-shirts' tu za kumwombea apone, watu waliogopa...
Mkuu,
Viongozi hao wapo, na hata sasa wapo.
Tatizo nionalo mimi, chadema haikuwekeza kwa wagombea majasiri katika jiji la Dar.
Dar ingepata vichwa vigumu kama Lissu, Lemma, Sugu, Heche zamani Chadema wangechukua Nchi.
Kumbuka na Mikoani huwa wanaiga yote yanayotokea Dar, sio kwenye siasa tu hata mambo mengine.
Sasa ukiangalia wabunge wa chadema wa Dar wote ni walaini kidogo mdee anajitahidi...
Nchi kubwa duniani mageuzi yanaanza mji mkubwa