HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,509
sio siri ndugu zangu huu ugonjwa unaua sana hasa watu walio na umri mkubwa, nimempoteza shangazi yangu na mpaka sasa tupo kwenye shughuli za mazishi, alilazwa ghafla, tukaambiwa ameshindwa kupumua na sasa hivi nina hofu sana familia yangu isiwe inatoka nje hovyo, niwe natoka mimi tu!
wazazi wangu bado wananipa hofu sana ,kiufupi ndugu zangu naona mda wowote anaweza kufa yoyote nipo nimeshikilia moyo
epukeni misangamano, vaeni barakoa, usipige misere sana kama sio lazima, mutation inatokea kama variant ya kwanza ilikua imetulia, a more deadly variant is coming na sisi tuko vilevile tu tukiamini jamaa ni yuleyule, kumbe kila siku anaumiza kichwa na anajipanga aje kwa staili gani kali zaidi atuchote wengi
captain amekimbia chombo,hata kutoa tahadhari tu ya kwamba chombo kinazama hakuna! jiokoe wewe na nafsi yako kwa njia unazozijua! every man for himself now
na wale mliowahi kuugua huu ugonjwa mkatoka salama mnaweza kushea pamoja na sisi ilikuaje na mlifanya nn mpaka mkafanikiwa!
USIOMBE YAKUKUTE
wazazi wangu bado wananipa hofu sana ,kiufupi ndugu zangu naona mda wowote anaweza kufa yoyote nipo nimeshikilia moyo
epukeni misangamano, vaeni barakoa, usipige misere sana kama sio lazima, mutation inatokea kama variant ya kwanza ilikua imetulia, a more deadly variant is coming na sisi tuko vilevile tu tukiamini jamaa ni yuleyule, kumbe kila siku anaumiza kichwa na anajipanga aje kwa staili gani kali zaidi atuchote wengi
captain amekimbia chombo,hata kutoa tahadhari tu ya kwamba chombo kinazama hakuna! jiokoe wewe na nafsi yako kwa njia unazozijua! every man for himself now
na wale mliowahi kuugua huu ugonjwa mkatoka salama mnaweza kushea pamoja na sisi ilikuaje na mlifanya nn mpaka mkafanikiwa!
USIOMBE YAKUKUTE