ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 488
- Thread starter
- #21
usiombe msimu wa ramadhani, kila siku baikoko
Hahahaha Mimi nimesoma usagara! Nlikuwa napenda sana baikoko na madem wa kidigo
usiombe msimu wa ramadhani, kila siku baikoko
Usituchafulie thread mkuu
wale wa Galanos mpoo?
Aje the boss tupige stori za Mwahako, Mwakidila
Mwaka gani umesoma Galanos. Nina dada Yangu kasomea hapotupooo enzi za mwl pereira,msangi,marehemu msemo.n.k.
Usituchafulie thread mkuu
Hahahaha Mimi nimesoma usagara! Nlikuwa napenda sana baikoko na madem wa kidigo
Nani anapajua pale Uhuru park
Wana jf wa tanga,tuliowahi kusoma tanga na kukaa tanga ,maeneo kama pongwe,kichangani,maweni,kange,nguvumali,usagara,raskazone,mikanjuni,mabokweni,maranzara,donge,! Shule kama usagara,mkwakwani,popatlal,eukenford,galanos,masechu ,japan n.k karibuni watangaa rahaaa tujikumbushe stare he bata za tanga ,nimehama huko muda mrefu sana mwaka2004
Asilia kwenye ice cream bado kupo?
Kuna siku nilibambia mpaka nikakinai hahahhahahaha hayo ndo mambo yatanga bhana, viuno bila mifupa
Katani pale safi medics?Umetaja eneo langu raskazon ila napatkana katani house ndo job
nipo apa a.k.a mjukuu wa msocha
Kuna siku nilibambia mpaka nikakinai hahah