Tulia kijana.....nipo mwenyewe nyumban na shemeji yako na tunatoka asubuhi kurud usiku...ebu nipe huo mchanganuo wa hio unit 75 kwa mwezi....n:b usijibu maswali kama job ndugai au kabudi.muambiane nini kama matumizi yako yanazidi unit 75 kwa mwezi hesabu maumivu
Utaratibu wa kuingia hiyo tariff zero ukoje?Tulia kijana.....nipo mwenyewe nyumban na shemeji yako na tunatoka asubuhi kurud usiku...ebu nipe huo mchanganuo wa hio unit 75 kwa mwezi....n:b usijibu maswali kama job ndugai au kabudi.
Cheki umeme labda unavujaTulia kijana.....nipo mwenyewe nyumban na shemeji yako na tunatoka asubuhi kurud usiku...ebu nipe huo mchanganuo wa hio unit 75 kwa mwezi....n:b usijibu maswali kama job ndugai au kabudi.
Tafuta fundi aje akakague "earth road" inawezekana umeme unavuja! Mimi kwangu nilishangaa ndani ya siku tatu nimetumia unit 13 ile hali huwa natumia unit mbili kwa siku! Nikamuita fundi alipokagua akagundua waya wa earth umekatika! Alipounga matumizi yakarudi normalTulia kijana.....nipo mwenyewe nyumban na shemeji yako na tunatoka asubuhi kurud usiku...ebu nipe huo mchanganuo wa hio unit 75 kwa mwezi....n:b usijibu maswali kama job ndugai au kabudi.
Wale ambao tumehamishwa kinguvu na TANESCO kutoka tariff zero kwennda tarrif one tukutane hapa tuambiaane hatua za k
umeme umekuwa ghali! Mimi wamenibadilishia kwa kigezo cha kununua umeme mwingi! Swali nikwamba hawajui mtu ananunua ili awe na umeme hata kama siku hana hela!!? Haya makadirio ni ya kizamani sana! Maana ya kuwa na luku ni nini sasa! Idara husika pitieni hili maana mtu anaona nibora atumie solar kuliko huu umeme sasa! Unit 28 ndani ya siku nne haupo!!!? Na naishi mwenyewe natoka asubuhi narudi saa nne usiku!Tafuta fundi aje akakague "earth road" inawezekana umeme unavuja! Mimi kwangu nilishangaa ndani ya siku tatu nimetumia unit 13 ile hali huwa natumia unit mbili kwa siku! Nikamuita fundi alipokagua akagundua waya wa earth umekatika! Alipounga matumizi yakarudi normal
MmhTafuta fundi aje akakague "earth road" inawezekana umeme unavuja! Mimi kwangu nilishangaa ndani ya siku tatu nimetumia unit 13 ile hali huwa natumia unit mbili kwa siku! Nikamuita fundi alipokagua akagundua waya wa earth umekatika! Alipounga matumizi yakarudi normal
Mnataka kuandamana......Wale ambao tumehamishwa kinguvu na TANESCO kutoka tariff zero kwennda tarrif one tukutane hapa tuambiaane hatua za kuchukua.


Tano tenaWale ambao tumehamishwa kinguvu na TANESCO kutoka tariff zero kwennda tarrif one tukutane hapa tuambiaane hatua za kuchukua.
Sijui ni nani aliwadanganya watu kuwa hii huduma inaitwa tarrif 0, iko hivi hii huduma inaitwa tarrif 4 ambapo ukilipa 9150 unapata unit 75 japo watanzania wengi hulipa 9000 kamili hivyo hupata unit 73.8Wale ambao tumehamishwa kinguvu na TANESCO kutoka tariff zero kwennda tarrif one tukutane hapa tuambiaane hatua za kuchukua.
Mkuu ukizidisha unit 75 kwa mwezi unahamishwa! Inawezekana usiwe na matumuzi mengi ila umeme unavuja hivyo kufanya matumizi yawe makubwa
Apa ndo jibu lilipo and ze case close.Juzi nimeenda tanesco ilemela nimeonana na meneja maana hao wafanyakazi wake hawataki kuniunga tariff 4,ALICHONAMBIA MENEJA NI KUWA HIYO HUDUMA KWA SASA HAIPO NA AMBAO WAMESHAUNGWA TAYARI MUDA SI MREFU WATATOLEWA!! mjiandae
Kidumu chama cha mapinduzi.Juzi nimeenda tanesco ilemela nimeonana na meneja maana hao wafanyakazi wake hawataki kuniunga tariff 4,ALICHONAMBIA MENEJA NI KUWA HIYO HUDUMA KWA SASA HAIPO NA AMBAO WAMESHAUNGWA TAYARI MUDA SI MREFU WATATOLEWA!! mjiandae
Kudumu chama...Kidumu chama cha mapinduzi.