Tulio chaguliwa open university first year degree tukutane hapa

Tulio chaguliwa open university first year degree tukutane hapa

baba_

Senior Member
Joined
Nov 6, 2015
Posts
121
Reaction score
86
Wadau wa open university degree tukutane hapa tujuzane mambo mbali mbaliii kuhusu open university
 
Mimi mwaka Jana nilifanyiwa application na MTU ambaye hana uzoefu na haya mambo kwa bahati mbaya akajaza pia iko chuo na wakanichukua, (bsce) lakin nilipo report pale tokea mkoani(mza) hali iliniwea ngua hasa baada ya kujua mfumo wa ufundishaji wa chuo kuwa ni distance leaning yaaan huonan na recture hali ikawa mbaya zaidi nilipogundua kuwa ukiwa pale huwez pata mkopo kabisa man katsha sifa za hslb mwanafunzi anatakiwa awe registered kama anayesoma full time ko ikanibidi kuwa mpole na kusubil kwa mwaka mwingine,,,,ila kama utaweza komaa ukiona huwez omba transfer,, akhsante
 
Mimi mwaka Jana nilifanyiwa application na MTU ambaye hana uzoefu na haya mambo kwa bahati mbaya akajaza pia iko chuo na wakanichukua, (bsce) lakin nilipo report pale tokea mkoani(mza) hali iliniwea ngua hasa baada ya kujua mfumo wa ufundishaji wa chuo kuwa ni distance leaning yaaan huonan na recture hali ikawa mbaya zaidi nilipogundua kuwa ukiwa pale huwez pata mkopo kabisa man katsha sifa za hslb mwanafunzi anatakiwa awe registered kama anayesoma full time ko ikanibidi kuwa mpole na kusubil kwa mwaka mwingine,,,,ila kama utaweza komaa ukiona huwez omba transfer,, akhsante
Braza wapo watu wana mikopo pale na open university wenywe wanahimiza ombe mkopo kaka
 
OK if u don't believe on me kasome sifa za kupata mkopo kwa mwaka huu then utanambia
 
Nimechaguliwa pia Kusoma degree ya sheria LLB.
Sasa nilicomfrm mzumbe ila hali katikati ya safari nkafanikiwa kuitwa kazini.
So imenibidi niachane na mzumbe niende open
Swali. 1.Je bado nitakubaliwa kuanza open?
2. Je utaratibu wa kufanya mitihani upoje kwa sis waajiriwa itafanyika weekend ama?

Mwenye data zengine pia tusaidiane
Ahsante.
Nawasilisha.
 
Nimechaguliwa Apo kwa program ya bsc in food,nutrition and dietitics. Nimeamua nisiende... Nilikua cjui taratbu za chuo.. Kumbe ni chuo cha kusomea nyumbani...
 
Open ni chuo kikuu huria. Kwa sasa wana vipindi 1 moja rasmi cha mitihani yaani kila June - July (Test -MTTna Annual) na wana mitihani ya Kuomba (ODEX - On demand Examination) mwezi Oct na Mwezi Feb. Kwa mtu anayefanya kazi kipo poa sana. ILA ni Lazima kukaza Msuli. hakuna shida nyingine.

Kuhusu Mikopo wapo wanaopata Mikopo sina uhakika kama full ninafikiri Accomudation loan hakuna.

Kwa sasa wana system On line unapata materials yote ya kusoma na hata Test kwa sasa unafanya Online (easy).

Kidogo sasa Open sio mambo maguuuumu kama miaka yetu tupokuwa tukisoma hapo.

Shida kubwa ni kwamba kama mvivu kusoma ipo siku usije kutulaumu humu. Huku hakuna utoto utoto. Na kama Musuli wako ni mkubwa na una uwezo wa ada, Possible Miaka miwili Ukawa na Degree yako.
 
Open ni chuo kikuu huria. Kwa sasa wana vipindi 1 moja rasmi cha mitihani yaani kila June - July (Test -MTTna Annual) na wana mitihani ya Kuomba (ODEX - On demand Examination) mwezi Oct na Mwezi Feb. Kwa mtu anayefanya kazi kipo poa sana. ILA ni Lazima kukaza Msuli. hakuna shida nyingine.

Kuhusu Mikopo wapo wanaopata Mikopo sina uhakika kama full ninafikiri Accomudation loan hakuna.

Kwa sasa wana system On line unapata materials yote ya kusoma na hata Test kwa sasa unafanya Online (easy).

Kidogo sasa Open sio mambo maguuuumu kama miaka yetu tupokuwa tukisoma hapo.

Shida kubwa ni kwamba kama mvivu kusoma ipo siku usije kutulaumu humu. Huku hakuna utoto utoto. Na kama Musuli wako ni mkubwa na una uwezo wa ada, Possible Miaka miwili Ukawa na Degree yako.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom