Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Siku Chache Baada ya Kuteuliwa Na Ccm Kugombea Ubunge katika Jimbo la Uyole, Dkt Tulia Ackson Leo amechukua Fomu ya Kuomba kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa Ya Uchaguzi katika Jimbo Hilo
Akihutubia Mamia ya wanachama wa Ccm na wananchi wa Jimbo la Uyole Dkt Tulia amewashukuru kwa imani kubwa waliyonayo kwake na zaidi kumchagua kwa kura nyingi katika kura za maoni za ndani ya Ccm
Dkt Tulia amemaliza muda wake kama mbunge wa jimbo la mbeya mjini na sasa anagombea katika jimbo la uyole baada ya jimbo hilo kugawanywa na kupatikana jimbo la uyole na jimbo la mbeya mjini ambako Ccm Imemteua Patrick Mwalunenge Kupeperusha bendera ya chama hicho katika jimbo hilo
Akihutubia Mamia ya wanachama wa Ccm na wananchi wa Jimbo la Uyole Dkt Tulia amewashukuru kwa imani kubwa waliyonayo kwake na zaidi kumchagua kwa kura nyingi katika kura za maoni za ndani ya Ccm
Dkt Tulia amemaliza muda wake kama mbunge wa jimbo la mbeya mjini na sasa anagombea katika jimbo la uyole baada ya jimbo hilo kugawanywa na kupatikana jimbo la uyole na jimbo la mbeya mjini ambako Ccm Imemteua Patrick Mwalunenge Kupeperusha bendera ya chama hicho katika jimbo hilo