Nnape ni kijana kama vijana wengine wenye ndoto juu ya maisha ya Watanzania.
Kwa vile Nnape hajachafuka kisiasa na kijamii, ningekuwa yeye mara tu baada ya siku 90 za hawa mapacha watatu kujivua gamba kuisha....NINGEJIUZULU, FULL STOP!
Na kama Nnape akijiuzulu kwa hilo, atawakoga sana watanzania wapenda maendeleo na mabadiliko.
Ata hivyo, itakuwa juu ya Nnape kupima mwenyewe!