Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 766
- 1,287
Greetings.
Baada ya kuona vijana wengi wakilia katika mapenzi na kujiona hawana bahati kabisa ya mapenzi " Huku wakisumbuliwa na U.M.D- Ukosefu wa mapenzi ya dhati" basi nimekuja kuwaokoa na Uzi huu kwa namna ya tofauti kidogo.
Uzi huu utahusisha visa na story za jinsi ulivyomsaidia au kumfanyia mambo makubwa huyo mpenzi lakini bado hakutambua ulichokifanya na kukupiga chini " Kukupiga kibuti" kama tulivyopenda kulitumia miaka ile.
Nikianza na mtoa mada:
E bwana me nilikutana na girl mmoja aliyekuwa na tabia za ki- Tom boy, sorry huyu alikuwa ni Tom boy kabisa. Basi mazoea kidogo tu akaomba tuanze kudate, Na kwa kuwa wanaume tunajua maumivu ya kukataliwa, basi nikamkubalia huyu toto na kuendelea kumgegeda.
Jukumu langu basi ikawa nikumfanya huyu mwanamke achange kutoka mambo yake ya kiume, ili awe na sifa za kike kama wanawake wengine warembo ( Nilivaa hili jukumu kwa kuwa aliniomba na akawa ana nisikiliza kwa kila kitu na kuamini naweza mbadilisha).
Kutokana na njaa njaa zangu za kipindi hicho vijisent kidogo vilikuwa vinanitoka ili kumtengeneza huyu girl kuanzia tabia hadi muonekano kabisa.
Basi soon, Baada ya kuanza kupata sifa mtaani amechange na kuwa mwanamke mrembo na kuwa sifa zote za kike huku me nikipiga kifua kuwa huyu ni Wife material niliyemjenga katika principle zangu yeye akaniletea maringo na kunikataa kwa neno - * Baba sikutaki tena* - akaenda zake!
Kijana unayeona kama hauna bahati ya mapenzi sasa, You are not alone bali tulikuwepo na maisha yakaendelea.
Dondosha kisa chako hapo, Vijana wajengeke kipsychologia kuwa haya mambo yanatokea na maisha inabidi yaendelee.
Baada ya kuona vijana wengi wakilia katika mapenzi na kujiona hawana bahati kabisa ya mapenzi " Huku wakisumbuliwa na U.M.D- Ukosefu wa mapenzi ya dhati" basi nimekuja kuwaokoa na Uzi huu kwa namna ya tofauti kidogo.
Uzi huu utahusisha visa na story za jinsi ulivyomsaidia au kumfanyia mambo makubwa huyo mpenzi lakini bado hakutambua ulichokifanya na kukupiga chini " Kukupiga kibuti" kama tulivyopenda kulitumia miaka ile.
Nikianza na mtoa mada:
E bwana me nilikutana na girl mmoja aliyekuwa na tabia za ki- Tom boy, sorry huyu alikuwa ni Tom boy kabisa. Basi mazoea kidogo tu akaomba tuanze kudate, Na kwa kuwa wanaume tunajua maumivu ya kukataliwa, basi nikamkubalia huyu toto na kuendelea kumgegeda.
Jukumu langu basi ikawa nikumfanya huyu mwanamke achange kutoka mambo yake ya kiume, ili awe na sifa za kike kama wanawake wengine warembo ( Nilivaa hili jukumu kwa kuwa aliniomba na akawa ana nisikiliza kwa kila kitu na kuamini naweza mbadilisha).
Kutokana na njaa njaa zangu za kipindi hicho vijisent kidogo vilikuwa vinanitoka ili kumtengeneza huyu girl kuanzia tabia hadi muonekano kabisa.
Basi soon, Baada ya kuanza kupata sifa mtaani amechange na kuwa mwanamke mrembo na kuwa sifa zote za kike huku me nikipiga kifua kuwa huyu ni Wife material niliyemjenga katika principle zangu yeye akaniletea maringo na kunikataa kwa neno - * Baba sikutaki tena* - akaenda zake!
Kijana unayeona kama hauna bahati ya mapenzi sasa, You are not alone bali tulikuwepo na maisha yakaendelea.
Dondosha kisa chako hapo, Vijana wajengeke kipsychologia kuwa haya mambo yanatokea na maisha inabidi yaendelee.