kaumbika si mchezo.Nikijifananisha naye ntaanza kujihisi mimi sio mwanamke
kaumbika si mchezo.Nikijifananisha naye ntaanza kujihisi mimi sio mwanamke
Kuna watu huwa wanapinga kila kitu,nataka niwaone watakao kosoa uumbaji huu wa muumba.Kwa mambo binafsi ya ndani hatujui ila kwa uzuri wa nje,sura nzuri,muonekano bomba, urembo halisia,kiuno cha nyigu,pozi n.k nadhani hakuna wa kupinga kwamba mdada kaumbika...!!labda chuki binafsi tu.Weka maksi
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o>View attachment 25623</o>
Hana uzuri wowote huyo,, rangi tu hiyo mtu wangu. Usibabaike sana na rangi kwani rangi ingekuwa mali, basi mdudu nduza asingeshuka chiniwakaka bwana duh :lol::lol::lol:
Beauty is in the eyes of a beholder. Kwa vigezo vyangu she is only 3.5% beautiful
unanifanya nikunje shingo ili kumdeku
kama vip weka pic nyingine
hiyo hapo kajiandaa sana anaweza akawa galasa
Hana uzuri wowote huyo,, rangi tu hiyo mtu wangu. Usibabaike sana na rangi kwani rangi ingekuwa mali, basi mdudu nduza asingeshuka chini